Hatari ya kutumia barafu ukeni

Dar es Salaam. Ingawa baadhi ya watu hufikiri barafu husaidia kubana uke au kuongeza hisia za mapenzi, wataalamu wa afya wamesema matumizi ya barafu ukeni husababisha maambukizi na harufu mbaya sehemu za siri. Wataalamu hao wameonya hayo kutokana na mjadala ulioibuka baada ya baadhi ya wanawake kupitia mitandao ya kijamii kushauriana kuitumia kwa lengo kubana…

Read More

SPIKA WA BUNGE AOMBWA KUTOZUIA MIJADALA KUHUSU WATU KUTEKWA NA KUTOWEKA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mtangazaji maarufu wa kipindi cha “Jana na Leo” kinachorushwa na Wasafi FM, Edo Kumwembe, ametoa wito kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson, kuacha kuzuia mijadala inayohusiana na watu kutoweka na kutekwa nchini. Akizungumza katika kipindi hicho Alhamisi ya Agosti 29, 2024, Kumwembe alisema, “Spika Tulia (Dkt. Tulia Ackson)…

Read More

Simba rasmi yagomea Kariakoo Derby

Sakata la Simba kuzuiwa kufanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga, Jumamosi, Machi 08, 2025 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam limechukua sura mpya kufuatia uongozi wa timu hiyo kuamua timu yao isicheze mechi hiyo. Taarifa iliyotolewa na Simba leo Machi 08, 2025 saa saba kasoro usiku, imefafanua kuwa uamuzi…

Read More

Wasiojulikana wavamia makaburi Morogoro, waiba misalaba

Morogoro. Watu wasiofahamika wamevunja na kuondoka na misalaba iliyowekwa kwenye makaburi ya Kola, mkoani Morogoro. Hatua hiyo imesababisha ndugu wa marehemu waliozikwa kwenye makaburi hayo kushindwa kuyatambua, huku wengine wakiingia hasara ya kuweka misalaba mingine. Hii ni mara ya pili kutokea kwa matukio hayo ya kuvunjwa na kuibwa kwa misalaba na baadhi ya watu wanadai…

Read More

Kilio wanaopasua la saba kupangiwa shule za kata

Desemba 16, 2024, Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa, alitangaza orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza katika shule za Serikali mwaka 2025. Kwa mujibu wa Mchengerwa, wanafunzi 974,332 walichaguliwa kujiunga na elimu ya sekondari mwaka 2025. Kati ya hao, ni 809 tu waliochaguliwa kwenye shule…

Read More

MHANDISI MATIVILA AFURAHISHWA NA VIWANGO VYA UJENZI WA BARABARA ZA LAMI ZINAZOSIMAMIWA NA TARURA MKOANI DODOMA

Na. Catherine Sungura, Dodoma Naibu Katibu Mkuu , Ofisi ya Rais-TAMISEMI anayeshughulikia miundombinu Mhandisi Rogatus Mativila amefurahishwa na viwango vya ujenzi wa miradi ya barabara za lami zinazosimamiwa na Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoani Dodoma. Mhandisi Mativila ameyasema hayo mara baada ya kumaliza ziara yake ya kikazi ya kukagua uimara wa…

Read More