Wanafunzi St. Mathew wahamasishwa kujifunza Kichina

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Wanafunzi wa Shule ya Sekondari St. Mathew iliyopo Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani wamehamasishwa kujifunza lugha ya Kichina ili kupata fursa zaidi za kujiendeleza kimasomo. Shule hiyo imekuwa ikifundisha lugha ya Kichina tangu mwaka 2016 na hadi sasa wanafunzi 100 wamenufaika kwa na wengine wamepata ufadhili wa masomo nchini…

Read More

BAKWATA: Wenza wengi nchini hawana elimu kuhusu ndoa

Na Ramadhan Hassan, Dodoma Utafiti uliofanywa na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) umebaini kuwa wenzi wengi wanaoingia katika ndoa hawana elimu kuhusu ndoa. Kutokana na changamoto hiyo, BAKWATA itaanza kutoa elimu katika mikoa mbalimbali nchini ili kusaidia jamii kujua kuwa ndoa inataka nini. Naibu Kadhi Mkuu, Sheikh Ali Ngeruko. Hayo yamebainishwa leo Aprili 27,2024…

Read More

Sauti alivyogeuza changamoto soko la nyanya kuwa fursa

Dodoma. Upo msemo kuwa “Ukiona vinaelea vimeundwa”, ukiwa na maana ukiona jambo zuri basi kuna watu wameliwezesha kufikia hapo. Maisha ya Imani Sauti (27), mkazi wa Kata ya Ludewa iliyopo Kilosa mkoani Morogoro yanaendana na msemo huo wa wahenga, hasa ukiangalia maisha yake ya sasa na njia alizozitumia kufikia hapo. Baada ya kuhitimu kidato cha…

Read More

Mambo matano yanayomuondoa Benchikha Simba

Usiku wa leo Simba itakuwa uwanjani mjini Unguja kumalizana na Azam kwenye  pambano la fainali ya michuano ya Kombe la Muungano litakalopigwa Uwanja wa New Amaan, huku mabosi wa klabu hiyo wakianza kukuna vichwa kutokana na taarifa kwamba Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha anajiandaa kuondoka klabuni. Taarifa ambazo Mwanaspoti imehakikishiwa na baadhi ya mabosi wa Simba…

Read More

Watu 6,000 kutibiwa bure magonjwa ya macho

Mtwara. Zaidi ya wananchi 6,000 wanatarajia kupata elimu ya utunzaji wa, vipimo na matibabu ya macho bure kupitia kambi maalumu. Hayo yameelezwa leo Aprili 27, 2024 na Mratibu wa kambi ya macho wa Taasisi ya Bilal Muslim Agency, Hassan Dinya katia kambi siku tatu ya macho wanayofanya kwa kushirikiana na Taasisi ya Better Charity ya…

Read More

Rekodi ya Pacome kwa Al Ahly bado inaishi

Kiungo wa Yanga, Pacome Zouzoua anashikilia rekodi ya kuwa mchezaji pekee katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu kuifunga Al Ahly. Pacome alifunga bao dakika ya 90+1 katika sare ya bao 1-1 kwenye mchezo wa Kundi D uliochezwa Desemba 2, 2023 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Al Ahly ambayo jana…

Read More

Wananchi Malinyi walia kukosa huduma za afya

Morogoro. Pamoja na Serikali kutumia usafiri wa anga kutoa misaada ya chakula kwa waathirika wa mafuriko wilayani Kilombero na Malinyi mkoani hapa, wananchi wa Kata za Usangule na Misegese wameomba kupata suluhisho la kudumu la huduma za tiba. Wakizungumza na Mwananchi Digital leo Aprili 27, 2024 wakati wa kupokea misaada iliyoletwa na helikopta ya Jeshi…

Read More