Mitanange ya Leo Kukutajirisha Siku ya Leo

JUMATANO ya leo ni nzuri sana kwa wewe mteja wa Meridianbet kwani mechi kibao za kukupatia mkwanja wa maana zipo hapa. Suka jamvi lako la ushindi na wakali hawa wa ubashiri Tanzania. Kairaty Almaty atakuwa kibaruani kukiwasha dhidi ya Slovan Bratslava kwenye mkondo wa kwanza wa kuwania nafasi ya kucheza ligi ya mabingwa Ulaya. Nafasi…

Read More

Wazazi chungeni watoto wasiwaharibie ndoa

Canada. Japo watoto ni neema katika ndoa, wana changamoto tena nyingi tu. Si watoto tu. Hata mafanikio yawe ya elimu na mali, vyote vina changamoto zake. Katika kuzingatia na kulijua hili, leo, tutadurusu visa viwili vilivyowaletea changamoto na mtihani wanandoa karibia wakosane kutokana na kuharibika au kuharibikiwa kwa watoto wao. Katika kisa cha kwanza binti…

Read More

Ujenzi wa barabara Somanga waanza, mawe yamwagwa

Kilwa. Kufuatia agizo la Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa la kutaka barabara ya Dar es Salaam – Mtwara kuanza kujengwa maramoja katika eneo la Somanga, Wakala wa Barabara nchini (Tanroads) mkoa wa Lindi, umeanza kutengeneza barabara hiyo. Jana Mei 5, 2024, Waziri Bashungwa alitembelea eneo la Somanga ilipoharibika barabara hiyo na kukata mawasiliano, akaiagiza Tanroads…

Read More

Jinsi Uchumi wa Kiuchumi wa Kiafrika unavyoweza Kuimarisha Mifumo ya Kilimo katika Muktadha wa Mabadiliko ya Tabianchi – Masuala ya Ulimwenguni.

Mwanasayansi anachambua mche kwenye maabara. Maoni na Ousmane Badiane (Dakar, senegal) Jumatatu, Desemba 16, 2024 Inter Press Service DAKAR, Senegal, Desemba 16 (IPS) – Kutoka kuongezeka kwa wadudu na magonjwa hadi kupungua kwa mavuno ya mazao na hali mbaya ya hewa, athari mbaya za mabadiliko ya hali ya hewa katika kilimo barani Afrika haziwezi kupitiwa…

Read More

Mwabukusi: TLS tunafuatilia binti aliyetendewa ukatili wa kingono

  RAIS wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amelaani kitendo cha udhalilishaji na ukatili wa kijinsia aliofanyiwa binti mmoja mkazi wa Yombo Dovya huku akirekodiwa video na wanaume waliokuwa wakimtendea uovu huo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Pia amesema TLS inalitaka Jeshi la Polisi kuchukua hatua stahiki za kisheria pamoja…

Read More

Pandya arudi mbio za magari

BINGWA wa zamani wa mbio za magari nchini, Dharam Pandya ametangaza rasmi kurudi mchezoni na atakuwa mmoja wa washiriki katika mbio za ufunguzi wa msimu mkoani Iringa mwishoni mwa juma. Yakijulikana kama Mkwawa Rally of Iringa, mashindano haya ya siku mbili yatachezwa mkoani Iringa Mei 24 na 25 mwaka huu yakishirikisha madereva kutoka ndani na…

Read More