
VIBALI SITA VYATOLEWA USAMBAZAJI GESI ASILIA VIWANDANI, TAASISI
::::::::::::: Hadi Aprili, 2025 EWURA ilitoa vibali sita (6) vya ujenzi wa mabomba ya kupeleka gesi asilia kwenye viwanda, taasisi, migahawa ya chakula na majumbani. Kati ya vibali hivyo, kibali kimoja (1) kilitolewa kwa Kampuni ya PAET kwa ajili ya ujenzi wa bomba la kupeleka gesi asilia kwenye kiwanda cha Aluminium Africa (ALAF) Jijini Dar…