WANAWAKE WANASOMA SAYANSI NA KUITUMIA KUIFAA JAMII

Leo, kinyume na miongo kadhaa iliyopita, shauku ya wanawake ni halisi katika fani ambazo hapo awali zilichukuliwa kama nafasi za wanaume. Ingawa kuna usawa wa kijinsia katika uandikishaji,wasichana wengi zaidi, kuliko wavulana wanamaliza darasa la saba. Kwa mujibu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, kuanzia mwaka 2013 hadi 2017 wastani wa wasichana wanaomaliza darasa la…

Read More

ACT-Wazalendo yatoa tahadhari mwenendo wa deni la Serikali

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikiendelea kukopa kwa ajili ya shughuli mbalimbali za maendeleo, hali ya deni la Serikali na masuala ya mikopo yameendelea kuibua mijadala miongoni mwa jamii,  baadhi wakidai ndicho chanzo cha kodi zinazolalamikiwa. Kufuatia mwenendo wa deni la Serikali ambalo sasa linatajwa kufikia zaidi ya Sh90 trilioni, Chama cha ACT-Wazalendo kimesema bajeti…

Read More

Makada wawili wa Chadema watimkia ACT-Wazalendo

Dar es Salaam. Wanasiasa wawili waliokuwa sehemu ya kundi la G55 kutoka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Emmanuel Ntobi na Glory Tausi, wamejiunga na ACT Wazalendo. Hatua ya wawili hao kutimkia ACT- Wazalendo inakuja wiki mbili tangu wanamuungano wenzao wa G55, walipotangaza kujiunga na Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma). Akizungumza baada ya hatua…

Read More