Polisi yaita wenye taarifa kuhusu kifo cha Zuchy

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi nchini Tanzania limewataka watu wenye taarifa tofauti juu ya ajali ya bodaboda iliyotokea alfajiri ya jana Ijumaa Aprili 26, 2024, eneo la Makonde, mkoani Dar es Salaam na kusababisha kifo cha Noel Mwingira, maarufu Zuchy wazipeleke zifanyiwe kazi. Katika ajali hiyo, dereva bodaboda ambaye jina bado halijafahamika alijeruhiwa na…

Read More

Vita ya ubingwa Ligi Kuu Bara karata ngumu

YANGA, Azam na Simba ndizo timu zinazopigania nafasi mbili za juu katika msimamo wa Ligi Kuu Bara msimu huu ili kupata nafasi ya kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao. Pia ndizo zinazowania ubingwa unaoshikiliwa na Yanga. Katika kipindi hiki cha lala salama ya msimu wa 2023/24, ngoma imekuwa ngumu kutokana na wapinzani…

Read More

Mmoja mbaroni kwa tuhuma za kumuua Mwenyekiti wa kijiji Same

Same.Watu watatu wa familia moja, katika kitongoji cha Kampimbi, Kijiji cha Ndungu, Wilaya ya Same, Mkoani Kilimanjaro wanadaiwa kumshambulia na kumuua kwa kumkata sehemu za  kichwa na begani na kitu kinachodhaniwa kuwa na ncha kali,  Mwenyekiti wa kitongoji cha Sinangoa A, Charles Mkuruto na kumsababishia kifo chake. Mwenyekiti huyo ambaye pia ni Mjumbe wa Baraza…

Read More

Tuzo ya ufungaji Bara ngoma droo

MBIO za kuwania tuzo ya Mfungaji Bora wa Ligi Kuu Bara msimu huu ngoma nzito kikanuni, licha ya nyota wa Yanga, Stephane Aziz KI na Feisal Salum ‘Fei Toto’ wa Azam wakichuana katika orodha ya wafungaji wa mabao hadi sasa. Aziz Ki na Fei wanachuana kuwania tuzo hiyo ambayo msimu uliopita ilibebwa kwa pamoja na…

Read More

ACT Wazalendo chapigia chapuo waongoza watalii

Moshi. Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali, kusimamia na kuhakikisha waongoza watalii wanalipwa masilahi stahiki ili kuwa chachu ya kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo nchini. Rai hiyo imetolewa leo Aprili 27, 2024 na kiongozi wa ACT Wazalendo, Dorothy Semu alipotembelea kituo cha utalii cha Materuni Waterfalls akiwa ameongozana na viongozi mbalimbali wa chama hicho wakiwamo…

Read More

Mbowe asisitiza muungano wa Serikali tatu

Musoma/Dar. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema licha ya muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar kutimiza miaka 60, bado unahitaji maboresho, akipendekeza muundo wa Serikali tatu ikiwamo ya Tanganyika. Mbowe ameyasema hayo jana Aprili 26, 2024 kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Musoma mkoani Mara, akisisitiza msimamo wa chama chake wa kuunga mkono uwepo wa…

Read More