Caf yaanza na Coastal Union, Azam

Shirikisho la Soka Afrika (Caf) limezitaka timu zinazoshiriki michuano ya kimataifa msimu ujao kukamilisha usajili wake mapema. Caf juzi ilitoa taarifa ya kuonyesha kalenda ya michuano ya kimataifa, Klabu Bingwa Afrika na Kombe la Shirikisho, huku ikionekana kuwa timu zina siku chache tu kuanzia sasa kukamilisha usajili wake. Yanga na Azam zitashiriki michuano ya Ligi…

Read More

Zitto, Baba Levo wasaka rekodi Kigoma Mjini

Kigoma. Jimbo la Kigoma Mjini ni miongoni mwa majimbo yanayoibua mjadala na kufuatiliwa na wengi kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025. Siku hiyo Watanzania wataamua nani atakayeshika hatamu za urais, ubunge na udiwani kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Macho mengi yanaitazama Kigoma Mjini, ambayo pia imekuwa midomoni mwa watu ambako historia, siasa na burudani…

Read More

Waziri mkuu akuta madudu bwalo la milioni 774

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambana Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kushindwa kusimamia matumizi ya Fedha ujenzi wa Bwalo shule ya Sekondari ya Wasichana Lugalo ambayo ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa shule hiyo Ashangazwa kutumika kwa fedha yote ya ujenzi wa Bwalo lakini mpaka sasa halijakamilika. Bwalo hilo lilipangiwa sh. milioni 774…

Read More

Noble asubiri mbili Fountain Gate

HATIMA ya kipa namba moja wa timu ya Fountain Gate, Mnigeria John Noble itajulikana baada ya msimu wa Ligi Kuu Bara kumalizika iwapo atasalia au ataondoka ndani ya kikosi hicho. Fountain Gate inatarajia kumalizia mechi mbili dhidi ya Azam FC na Coastal Union, kisha atamalizana uongozi wa kikosi hicho. Noble aliondolewa kikosini Aprili 21, mwaka…

Read More

Wazazi wakumbushwa kutimiza wajibu wa malezi

Njombe. Kamati ya Shule ya Msingi NjooMlole iliyopo Halmashauri ya Mji wa Njombe imewataka wazazi kutimiza wajibu wao wa malezi kwa kuhakikisha wanawanunulia watoto wao vifaa vinavyohitajika shuleni ikiwamo sare za shule, madaftari na kupeleka vyakula shuleni ili wasome kwa uhuru na kufaulu masomo yao. Hayo yamesemwa leo Januari 14, 2025 na Mwenyekiti wa Kamati…

Read More

Waziri Mkuu:Maadhmisho ya VETA kutafakari

Mkurugenzi  Mkuu wa VETA CPA Anthony Kassore akitoa maalezo kuhusiana  na mikakati ya VETA kwenye maadhimisho  ya miaka 30 tangu kuanzishwa kwake jijini Dar es Salaam. Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia  Profesa Adolf Mkenda akitoa maelezo kuhusiana na maendeleo  na mafanikio ya maadhimisho  ya miaka 30 ya VETA jijini Dar es Salaam. Waziri Mkuu Kassim…

Read More

12 wahukumiwa kwa makosa ya rushwa

Kibaha/Njombe. Watu 12 kati ya 22 waliokamatwa kwa makosa ya rushwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Pwani wamehukumiwa baada ya kupatikana na hatia. Kesi hizo zilifunguliwa katika mahakama za wilaya za Mkoa wa Pwani kati ya Julai na Septemba 2024, baada ya uchunguzi kubaini ukiukwaji wa sheria uliofanywa na…

Read More

Rais ateua watano, yumo kigogo wa TPA

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa  viongozi mbalimbali wa wenyeviti wa bodi na kumuongezea muda Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (Tafiri). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Moses Kusiluka, Dk Ismael Aaron Kimirei ameteuliwa kushika wadhifa  katika kipindi cha pili. Naye Balozi Ernest…

Read More