Haki, amani vyatawala ibada ya Ijumaa Kuu Arusha

Arusha. Amani ya Tanzania ili iendelee kudumu, viongozi wa Serikali wametakiwa kuongeza kiwango cha uvumilivu na kuepuka matumizi ya nguvu kupita kiasi kwa baadhi ya watu wenye mitazamo tofauti. Aidha, wametakiwa kutenda haki kwa watu wanaowaongoza, na pale wanapotofautiana kujenga tabia ya kutumia njia ya mazungumzo kwa ajili ya kumaliza tofauti zao. Wito huo umetolewa…

Read More

WAZIRI MKUU KUZINDUA WIKI YA VIJANA KITAIFA.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Oktoba 11, 2024 anazindua maadhimisho ya Wiki ya Vijana Kitaifa mwaka 2024 inayofanyika katika viwanja vya Furahisha, jijini Mwanza. Maadhimisho hayo ni nyenzo muhimu ya kurithisha falsafa za maendeleo za Baba wa Taifa na historia ya Taifa kwa vijana wa Tanzania. Aidha, kupitia wiki hii Serikali na wadau wote wa…

Read More

Odero alalamikia kuonewa, uongozi wamjibu

Dar es Salaam. Wakati Katibu wa Kamati ya Sheria na Haki za Binadamu wa Chadema, Kanda ya Kaskazini, Odero Charles akilalamikia kucheleweshwa kwa uamuzi wa tuhuma dhidi yake, uongozi wake umesema utakamilisha kazi hiyo ndani ya mwezi huu. Katika malalamiko yake, Odero amesema uongozi ukiendelea kukaa kimya ataamua kupambana na uonevu, ukandamizaji, udhalilishaji na ubaguzi…

Read More

Maxime amalizana na Dodoma Jiji, Anicet anahesabu siku

RASMI Dodoma Jiji imemalizana na makocha wake walioisimamia timu hiyo msimu uliopita, ikiwakabidhi barua za kuhitimisha mikataba yao kwa makubaliano ya pande mbili akiwamo aliyekuwa kocha mkuu, Mecky Maxime. Dodoma Jiji imefikia uamuzi huo baada ya Maxime kuifundisha kwa msimu mmoja tu ikimaliza katika nafasi ya 12 kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara huku kocha…

Read More

Taswa Mwambao Marathon kufanyika Desemba 22 jijini Tanga

MBIO za TASWA Mwambao Marathon  zinazoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), ambazo awali zilikuwa zifanyike mwishoni mwa mwezi uliopita sasa zitafanyika Desemba 22, 2024 jijini Tanga. Siku moja kabla ya mbio hiyo kutafanyika Mkutano Mkuu wa TASWA asubuhi ya Desemba 21, 2024 jijini Tanga na baadaye mchana siku hiyo hiyo…

Read More

Waogeleaji Bongo washika nafasi ya pili

TANZANIA imeibuka mshindi wa pili kwenye mashindano ya Afrika Kanda ya Tatu kwa mchezo wa kuogelea yaliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Bujumbura nchini Burundi yakishirikisha nchi saba. Alama 1642 ilizokusanya ndizo zimeifanya Tanzania kushika nafasi hiyo nyuma ya Uganda huku Kenya ikikamata nafasi ya tatu. Wakati huo huo, Tanzania imetoa mshindi wa jumla kwenye mashindano…

Read More