Kikokotoo chaendelea kufukuta, Tucta, THTU wakoleza moto

Dodoma. Baada ya malalamiko ya wafanyakazi kuhusu kanuni mpya za kikokotoo cha mafao ya mkupuo, Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta) limesema limewasilisha maoni kwa Serikali na bado majadiliano yanaendelea. Kanuni mpya za mafao ya mkupuo zilianza kutumia Julai 2022 ambapo mafao hayo kwa mifuko yote ya hifadhi ya jamii ni asilimia 33. Tucta…

Read More

Dodoma Jiji yaizamisha KMC, yapaa kibabe

BAO la Paul Peter limetosha kuipandisha Dodoma Jiji kwa nafasi tatu juu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara kutoka nafasi ya 10 hadi ya nane baada ya kufikisha pointi 28. Bao la Peter lililofungwa kipindi cha kwanza na kudumu hadi dakika zote 90 za mchezo, limeifanya Dodoma Jiji kukusanya pointi zote sita kwa KMC ambao…

Read More

Yanga, Coastal kuna mtu atalia Chamazi

HESABU za kutetea ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania kwa Yanga zipo mikononi mwa Coastal Union Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi huku wagosi hao wa Kaya nao wakitolea macho kumaliza ndani ya Top 4. Yanga ambayo ilitoka suluhu katika mchezo uliopita wa ligi dhidi ya Maafande wa JKT Tanzania kwenye Uwanja wa Meja…

Read More

Mhadhiri Udom ataka Muungano ufundishwe shuleni

Dodoma. Ili kuuenzi vema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Serikali ya Tanzania imeshauriwa kuweka somo hilo, litakalofundishwa shuleni kuanzia ngazi za chini katika  pande zote mbili za Tanzania Bara na Zanzibar kwa faida ya vizazi vijavyo. Ushauri uliotolewa na jana Alhamisi Aprili 25, 2024 na Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) katika Shule Kuu…

Read More

NIONAVYO: Soka la kununua bila kuuza halina tija

SHIRIKISHO la Soka Ulaya (UEFA) lina sheria na taratibu za kuhakikisha kuna nidhamu ya mapato na matumizi miongoni mwa nchi wanachama wake ikiwa ni pamoja na klabu. Lengo la utaratibu huu siyo tu kuondoa ‘fedha chafu’ kwenye soka, pia kuhakikisha kuna utamaduni unaofanana katika matumizi ya fedha bila kujali klabu kubwa na ndogo. Katika utaratibu…

Read More

Wakazi wa Njombe waiomba Tarura kutelekeza ujenzi wa daraja

Njombe. Wakazi wa mitaa ya Igangidung’u na Maguvani Kata ya Kivavi Halmashauri ya Mji wa Njombe, wameiangukia Serikali ikamilishe ujenzi wa daraja lililoanza kujengwa tangu mwaka 2022. Wakizungumza na Mwananchi Digital leo Ijumaa Aprili 26, 2024 wananchi hao wamesema kipindi hiki cha mvua eneo hilo halipitika na ni adha kubwa kwao. Wameiomba Serikali kupitia Wakala…

Read More

Sababu za mafuriko kuivuruga dunia

Dar es Salaam. Wakati Tanzania ikiomboleza vifo vya watu 162 vilivyotokana na janga la mafuriko linalosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha, janga hilo ni sehemu tu ya taswira kubwa ya mateso yanayoathiri mataifa mengi barani Afrika na duniani kote kwa sasa. Sababu ya mafuriko yanayovuruga dunia nzima, imeelezwa kuwa ni matokeo ya mabadiliko ya tabianchi…

Read More

Mastaa Yanga wawaachia msala Azizi KI, Musonda

ACHANA na matokeo yaliyopatikana kati ya Yanga na JKT Tanzania unaambiwa wachezaji zaidi ya watatu ndani ya kikosi cha Yanga wamemtupia zigo kiungo Stephane Aziz Ki na Keneddy Musonda kumaliza suala la penalti na kufunga. Mastaa hao ambao walikuwa wanataja sifa za wachezaji wao waliopo kikosini wakiainisha kuanzia mguu wa kushoto, wa kulia, mkali wa…

Read More