
Makalla: CCM haikubadili gia angani uteuzi wagombea urais
Dar es Salaam. Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla amesema chama hicho hakikubadili gia angani kwa kuwateua wagombea urais mapema kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Badala yake, amesema uamuzi wa kuwateua wagombea hao, umechochewa na shinikizo la wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho, baada ya kuridhishwa na…