Mambo matano yaliyoirejesha Pamba Ligi Kuu

Wikiendi iliyopita Pamba Jiji ilivunja mwiko wa miaka 23 kutopanda daraja kwenda Ligi Kuu tangu iliposhuka mwaka 2000, ilipoifunga Mbuni FC ya Arusha mabao 3-1 na kutimiza ndoto iliyosubiriwa kwa miaka mingi na mashabiki wa soka jijini Mwanza na nchini.  Pamba ilipanda Ligi Kuu ikivuna jumla ya pointi 67 baada ya kucheza mechi 30, ikishinda…

Read More

SHERIA KUTUNGWA PASIPO KUZINGATIA TAFITI CHANZO CHA KUFANYIWA MAREKEBISHO MARA KWA MARA- DKT. RWEZIMULA

  NAIBU  Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Franklin Rwezimula,akizungumza wakati akifungua  Warsha Juu ya Umuhimu wa Utafiti katika Maboresho ya Sheria Tanzania kwa niaba ya Waziri wa Katiba na Sheria Prof.Palamagamba Kabudi iliyofanyika leo Agosti 21,2024 jijini Dodoma. MWENYEKITI wa Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania Jaji wa Mahakama ya Rufani,Winifrida Korosso,akizungumza wakati…

Read More

Msichana wa Kitanzania anakumbwa na changamoto hizi

Dar es Salaam. Umewahi kujiuliza changamoto za msichana wa Kitanzania ni zipi? Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Girl Effect Rita Mbeba amezitaja kwa uchache akisema zikifanyiwa kazi jamii inaweza kubadilika. Akizungumza kuhusu siku ya wanawake, Mbeba anasema vijana wengi hawafikishi malengo yao na wengi wao hawamalizi masomo yao  kwa sababu jamii haitoi nafasi haiwapi nafasi…

Read More

Usichojua kuota, kung’oka meno ya watoto

Shinyanga. Kuota meno ni kitendo cha meno kuanza kuchomoza kutoka kwenye fizi za mtoto, na ni hatua muhimu katika ukuaji wa mtoto, ambapo umri wa uotaji hutofautiana kati ya mtoto mmoja na mwingine. Hata hivyo, kitendo hicho kwa jamii nyingi kimekuwa kikitazamwa kwa sura na imani tofauti ikiwamo hata ile potofu zenye madhara kiafya Kwa…

Read More

Chadema Mbeya yavunja kambi ya kumsaka Mdude

Mbeya. Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimevunja rasmi kambi iliyokuwa imewekwa kushinikiza kupatikana kwa kada wao, Mdude Nyagali, huku kikieleza msimamo wao katika ushiriki wa uchaguzi mkuu na uzinduzi wa kampeni ya ‘No reforms, no election’ mkoani Mbeya. Pia kimewataka wananchi na wafuasi wao kupuuza taarifa za baadhi ya waliojivua uanachama wa chama hicho,…

Read More

Wapinzani Ngorongoro Heroes hadharani leo

Timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20 ‘Ngorongoro Heroes’ leo itafahamu kundi itakalopangwa na wapinzani itakaocheza nao kwenye Fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana wa umri kama huo (AFCON) mwaka huu huko Misri. Fainali hizo zitafanyika kuanzia Aprili 27 hadi Mei 18 zikishirikisha timu 13 za taifa za vijana chini…

Read More

Mauaji ya mtoto Asimwe yanatia doa sifa ya Tanzania

Mei 30, 2024, mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novath, umri miaka miwili, alinyakuliwa kutoka kwa mama yake, kisha watu wakatoweka naye. Juni 17, 2024, ikiwa ni siku 18 tangu alipochukuliwa pasipo haki, Asimwe alikutwa mabaki ya mwili. Roho ilishaacha mwili, kisha mwili nao ulikutwa nusu. Baadhi ya viungo vilishanyofolewa. Asimwe, mtoto mzuri, halafu mrembo. Kisa ulemavu…

Read More

Sh1.5 bilioni kujenga soko la ndizi Rombo

Rombo. Serikali imetoa zaidi ya Sh1.5 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa soko jipya la ndizi la Mamsera lililopo wilaya ya Rombo, Kilimanjaro ili kuhakikisha wakulima wa ndizi wilayani humo, wanapata sehemu ya uhakika ya kuuzia bidhaa hiyo. Wakulima hao wa ndizi wamekuwa wakifikisha bidhaa hiyo sokoni na kulazimika kupanga  chini pembezoni mwa barabara kutokana…

Read More

MKUU WA MKOA WA TANGA AZINDUA MRADI WA INCLU-CITIES

Mkuu wa mkoa wa Tanga Balozi Dkt. Batilda Salha Burian akipanda mti kama ishara ya uzinduzi wa Mradi wa INCLU-CITIES unaodhaminiwa na Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Ubelgiji (ENABEL). Baadhi ya matukio ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga Batlida Salha Burian mbalimbali ya upandaji miti. Mwandishi Wetu MKUU wa mkoa wa Tanga Balozi Dkt….

Read More