Karani atupwa jela miaka 22 kwa uhujumu uchumi,wizi wa ufuta

MAHAKAMA ya  Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi imemtia hatiani Omari Ntauka kwa makosa ya uhujumu uchumi na kusababishia  hasara ya Shs. 5,602,100/- kwa kuiba  kilogramu 1,855 za ufuta alizokabidhiwa na wakulima katika Tawi la Chilonji kwa msimu wa ufuta 2021/2022 kwa Chama cha Msingi cha  Ushirika( AMCOS) cha Rweje . Ilielezwa mahakamani hapo kwamba mshtakiwa…

Read More

Mila, desturi kandamizi chanzo cha ukatili

Dar es Salaam. Kila mwaka Novemba 25 hadi Desemba 10, dunia hujikita kwenye kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia. Ukatili huu unatajwa kuwaathiri wanawake na watoto ukilinganisha na idadi ya wanaume wanaokutana na ukatili huo. Kihistoria, siku hii ilianza kuadhimishwa rasmi mwaka 1981 ikiwa mi njia ya kuwaenzi wanaharakati wa kisiasa Mirabal Sisters…

Read More

Ninja asaka chimbo jipya DR Congo

FC Tanganyika ya DRC Congo iko kwwenye mazungumzo na Beki wa Kitanzania, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ aliyevunja mkataba na FC Lupopo ya nchini humo. Ninja alijiunga na Lupopo msimu huu akitokea Lubumbashi Sports ya nchini humo ambayo aliichezea kwa msimu mmoja kati ya miwili aliyokuwa amesaini na sababu ya kuachana nayo ni changamoto ya mshahara. Akizungumza…

Read More

Bosi Amsons: Kenya, Tanzania si washindani wa kiuchumi

Dar es Salaam. Tanzania na Kenya huenda zikawa na tofauti katika maeneo kadhaa, ikiwa ni pamoja na siasa, biashara, michezo, na utalii, lakini pia ni marafiki wazuri, imeelezwa. Hilo limewekwa bayana na Mkurugenzi Mtendaji wa Amsons, Edha Nahdi, katika mahojiano yake ya kwanza ya kina tangu kumaliza ununuzi wa kampuni ya Bamburi Cement ya Kenya….

Read More

JIWE LA SIKU: VAR sawa ije lakini kwenye viwanja vipi?

KWA mujibu wa Shirikisho la Kimataifa la Historia na Takwimu za Mpira wa Miguu (IFFHS), Ligi Kuu Tanzania Bara inashika namba sita kwa ubora barani Afrika nyuma ya vinara Misri, Morocco, Algeria, Tunisia na Afrika Kusini. Takwimu hizo zilitolewa Januari 2024. Ukiangalia orodha hiyo katika nne bora unazikuta nchi za Ukanda wa Kaskazini mwa Afrika…

Read More