Faru waliotoweka kwa miaka 30 kurejeshwa Hifadhi ya Mikumi
Morogoro. Baada ya faru weusi kutoweka kwa zaidi ya miaka 30 iliyopita kutokana na kuuawa na majangili, Serikali kupitia Hifadhi za Taifa (Tanapa), imeanza mchakato wa kuwarejesha katika Hifadhi ya Mikumi. Faru weusi wako kwenye orodha ya wanyama walio hatarini kutoweka duniani huku Tanzania kupitia mpango wa Taifa wa miaka mitano wa uhifadhi wa faru…