Faru waliotoweka kwa miaka 30 kurejeshwa Hifadhi ya Mikumi

Morogoro. Baada ya faru weusi kutoweka kwa zaidi ya miaka 30 iliyopita kutokana na kuuawa na majangili, Serikali kupitia Hifadhi za Taifa (Tanapa), imeanza mchakato wa kuwarejesha katika Hifadhi ya Mikumi. Faru weusi wako kwenye orodha ya wanyama walio hatarini kutoweka duniani huku Tanzania kupitia mpango wa Taifa wa miaka mitano wa uhifadhi wa faru…

Read More

Rais wa chama cha majaji na mahakimu Tanzania atoa kauli kuhusu TEHAMA ilivyoondoa rushwa

Majaji na Mahakimu zaidi ya mia tatu wanaotarajiwa kukutana mkoani Arusha kuanzia kesho watapata fursa ya kujengewa uwezo katika maswala ya kuendesha Kesi za jinai,madai na migogoro ambapo lengo kuu ni kuhakikisha wanamaliza na kutatua migogoro kwa haraka . Aidha migogoro inapotatuliwa kwa haraka sana watu wanatoka kwenye migogoro mahakamani na kwenda kwenye shughuli zao…

Read More

CPA MAKALA:WAGOMBEA CCM WAMEANDALIWA,WAKO TAYARI KUWATUMIKIA WANANCHI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV KATIBU wa Halmashauri Kuu(NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi,Siasa na Mafunzo CPA Amoss Makala amewahakikishia Watanzania kwamba Chama hicho katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kimeweka wagombea safi ambao wako tayari kuleta kuleta maendeleo CPA Makala ameyasema hayo leo Novemba 21,2024 alipokuwa akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Kigamboni…

Read More

FCC Yasisitiza Kulindwa kwa Wawekezaji wa Ndani, Yawataka Wananchi Kufika Banda la Viwanda Sabasaba

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC) Tanzania bi.Hadija Juma Ngasongwa amesema wawekezaji wa ndani ya nchi wanasimamiwa na sheria madhubuti zinazosimamia uwekezaji nchini, kusaidia kuimarisha biashara nchini, kulinda Akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 4 julai 2025 alipofanya ziara kwenye banda la viwanda na biashara katika maonyesho ya 49 ya biashara sabasaba…

Read More

RAIS DKT. SAMIA FANYAUTEUZI, AMPANGIA KITUO CHA KAZI MMOJA

Zanzibar 13 Disemba, 2024 RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na kumpangia Balozi kituo cha kazi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, uteuzi huo ni:- Bw. Majaba Shabani Magana ameteuliwa kuwa Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti Fedha Haramu (FIU) akichukua…

Read More

Mtihani mgumu wa Lissu Chadema

Dar es Salaam. Uongozi mpya wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) chini ya mwenyekiti Tundu Lissu unakabiliwa na mtihani mzito wa kuwaunganisha wanachama wake wanaoendeleza minyukano ya chini kwa chini. Lissu aliingia madarakani Januari 22, 2025 baada ya kumshinda Freeman Mbowe kwenye boksi la kura ambaye amekiongoza chama hicho kwa miaka 21 na kukiwezesha…

Read More