Zitto aendelea kutangaza neema Kigoma

Kigoma. Mgombea ubunge wa Kigoma Mjini kupitia tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema endapo atachaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo, mojawapo ya kipaumbele chake cha awali kitakuwa kuboresha miundombinu ya masoko ya jioni yaliyopo katika Kata ya Buhanda, hususan masoko ya Mwansenga na Mgeo. Akizungumza leo Jumatano, Septamba 24, 2025 kwenye mkutano wa…

Read More

Trump: Ushirikiano wa Dunia Unahitajika Kulinda Njia ya Mafuta

Global Publishers March 17, 2026 0 Comments Rais wa Marekani Donald Trump Rais wa Marekani Donald Trump usiku wa kuamkia leo Machi 17, 2026 amesema  operesheni za kijeshi dhidi ya Iran zimefanikiwa kwa kiwango kikubwa, akidai kuwa uwezo wa kijeshi wa taifa hilo “umeangamizwa kabisa” kufuatia mashambulizi ya pamoja ya Marekani na Israel. Trump alitoa kauli…

Read More

Matumizi ya kijeshi ulimwenguni kote rekodi ya $ 2.7 trilioni – maswala ya ulimwengu

“Ulimwengu unatumia vita zaidi kuliko katika kujenga amani“Un Katibu Mkuu António Guterres Alisema katika mkutano wa waandishi wa habari kwa mpya ripoti juu ya tishio linalosababishwa na kuongezeka kwa matumizi ya kijeshi. Matumizi ya mahitaji ya usalama yaliongezeka katika mikoa yote mitano ya ulimwengu wakati wa 2024, kuashiria kuongezeka kwa mwaka kwa mwaka kwa angalau…

Read More

‘Mfumo wa Kisiasa Husogea Pekee Unapotishiwa Moja kwa Moja’ – Masuala ya Ulimwenguni

na CIVICUS Jumatatu, Machi 23, 2026 Inter Press Service CIVICUS inajadili uchaguzi ujao wa Nepal na mwanaharakati wa vijana Anusha Khanal wa Gen Z Movement Alliance, muungano wa mashirika ya kiraia unaoongozwa na vijana unaohamasisha uwajibikaji wa kidemokrasia na mageuzi ya utawala nchini Nepal. Anusha Khanal Kufuatia kujiuzulu kwa Waziri Mkuu KP Sharma Oli kutokana…

Read More

Hofu ya ‘kibamia’ inavyotesa wanaume wengi

Mwanza. Ukubwa wa uume ni mada ambayo wanaume wengi huijadili kwa sauti ya chini, kwa aibu au kwa mzaha, lakini ndani yake ikiwa imejaa hofu na mashaka. Katika vijiwe vya kahawa, makundi ya marafiki na hata faraghani ndani ya ndoa, swali la wanaume wengi limekuwa lilelile; je, nina ukubwa wa kutosha? Nitamridhisha mke wangu? Kadiri…

Read More

Mirambo achukua mikoba ya Kidao TFF

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemteua Oscar Mirambo kuwa Kaimu Katibu Mkuu akichukua nafasi ya Kidao Wilfred ambaye mkataba wake unafikia tamati Septemba 30 mwaka huu. Taarifa iliyotolewa leo Septemba 24, 2025 na Ofisa Habari na Mawasiliano wa TFF, Cliford Mario Ndimbo, imesema: “Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania…

Read More

Wanafunzi NM-AIST wabuni roboti la ukaguzi viwandani

Arusha. Wanafunzi watatu kutoka Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela (NM-AIST), wamebuni roboti lenye uwezo wa kukagua chupa za vinywaji katika mchakato wa uzalishaji viwandani. Mashine hiyo iliyotengenezwa kwa ushirikiano wa Profesa Anaeli Sam, Dk Judith Leo na Jared Nganyi, inafanya kazi kwa mfumo wa kunyanyua na kushusha, ikiwa na mkono wa roboti…

Read More