
Wana Azaki kujadili uchaguzi Serikali za Mitaa, Uchaguzi Mkuu
Dar es Salaam. Washiriki zaidi ya 500 wanatarajiwa kuujadili uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba mwaka huu na uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 katika maadhimisho ya sita ya Asasi za Kiraia yanayotarajiwa kufanyika jijini Arusha Septemba 9 hadi 13, 2024. Pia, washiriki hao wakiwemo wadau wakuu wa maendeleo wa asasi za kiraia pamoja na…