Waajiri na viongozi ofisi za umma wapewa neno,matumizi ya Kiswahili Sanifu na Fasaha katika nyaraka mbalimbali

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Gerson Msigwa amewataka Waajiri na Viongozi katika ofisi za umma kuwapa fursa Waandishi Waendesha Ofisi (Masekretari) kuwasidia katika uandishi kwa kutumia Kiswahili sanifu na fasaha katika nyaraka mbalimbali badala ya Maboss hao kung’ang’ania kuandika wenyewe na mwisho kupelekea makosa mengi kwenye nyaraka. Msigwa amesema hayo Mkoani…

Read More

Mradi wa Bomba la Mafuta la Afrika Mashariki Wafikia Asilimia 47.1, Utekelezaji Watarajiwa Kukamilika 2026

SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema kuwa hadi sasa utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (Hoima, Uganda-Tanga, Tanzania) umefikia asilimia 47.1 na unatarajia kukamilika Julai, 2026. Mradi huo ni Moja ya miradi ya kimkakati inayotekelezwa kwa Ushirikiano kati ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…

Read More

Moallin atambulishwa Yanga, Kodro kumsaidia Ramovic

Klabu ya Yanga imemtambulisha rasmi aliyekuwa kocha wa KMC Abdihalim Moalin kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa timu hiyo, huku msaidizi wa Ramovic akitua. Moalin ambaye ni kocha wa zamani wa Azam aliachana na KMC hivi karibuni na muda mchache uliopita ametangazwa kuchukua cheo hicho kwenye kikosi cha Yanga nafasi ambayo ni mpya. Mtu wa mwisho…

Read More

Wananchi waitwa kutoa maoni Dira ya Maendeleo 2050

Dar es Salaam. Tume ya Mipango, imewaita wananchi kushiriki kutoa maoni ikiwamo kutuma ujumbe mfupi kuhusu dira ya maendeleo ya Taifa ya mwaka 2050. Dira ya Taifa ya maendeleo ni picha au maono kuhusu mustakabali tarajiwa wa maendeleo ya nchi katika siku za usoni. Wito huo umetolewa leo Jumanne Juni 4, 2024 Katibu Mtendaji wa…

Read More

Wananchi kaskazini waitwa kutoa maoni dira ya Taifa

Arusha. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kufungua kongamano la ukusanyaji wa maoni ya wananchi kwa ajili ya maandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, kesho Julai 27, 2024, katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano (AICC). Kongamano hilo la pili la kikanda, litakalofanyika Arusha likiwashirikisha wananchi wa kanda ya kaskazini, limeandaliwa na Tume ya Mipango…

Read More