Maadhimisho ya Siku ya Vipimo Duniani, TBS yanena

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeungana na mataifa mengine duniani kufanya maadhimisho ya siku ya Vipimo ambayo hufanyika Mei 20 kila mwaka ambapo TBS imeitumia maadhimisho hayo kutoa elimu na hamasa kwa wadau wa vipimo kuhakiki vipimo kwa lengo la kumlinda mtumiaji. Akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 20,2024…

Read More

‘Tutoe taarifa za vitendo vya ukatili’

Arusha. Ili kutokomeza vitendo vya kikatili dhidi ya wanawake na watoto nchini, jamii imetakiwa kutoa taarifa za matukio hayo ili hatua za kisheria zichukuliwe. Hayo yamesemwa leo Jumapili Machi 16,2025 na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu, Mwanaidi Ali Khamis wakati akizungumza wilayani Arumeru katika ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji…

Read More

Ihefu yamnyatia Waziri Junior | Mwanaspoti

VIONGOZI wa Ihefu, wamevutiwa  na kiwango anachokionyesha mshambuliaji wa KMC, Waziri Junior na tayari wameanza mazungumzo naye, kama watafikia mwafaka huenda msimu ujao akawa sehemu ya kikosi chao. Junior ambaye msimu uliopita alimaliza na bao moja alifunga dhidi ya Geita Gold, Ligi Kuu inayoendelea amekuwa na kiwango kizuri hadi sasa anamiliki mabao 12 na asisti…

Read More

Gamondi autaka ubingwa Cecafa Kagame Cup

KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi ametangaza kuwa lengo kubwa kwenye michuano ya Cecafa Kagame Cup 2025 ni kuipa timu yake ubingwa akiitumia pia kama sehemu ya maandalizi ya mashindano ya kimataifa na msimu mpya wa Ligi Kuu Bara. Gamondi, aliyewahi kuinoa Yanga, ameanza jana, Jumanne safari yake na Singida kwenye mchezo wa Kundi…

Read More

ASKARI WAWILI WASHIKILIWA KWA MAUAJI YA DEREVA BODABODA

…………..,….. Na Ester Maile Dodoma  Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia Askari polisi wawili  kwa kumjeruhi na kusababisha kifo Cha frank Sanga Mtias mwenye umri wa Miaka 32 ambaye ni  mkulima mkazi wa Mkomwa ,Mtaa wa Kusenha Matumbulu jijini Dodoma . Hayo ameyasema Kamanda wa jeshi la polisi  Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi wa…

Read More

Azam FC haina papara, mambo kimyakimya

AZAM inafanya mambo kimyakimya kwani tayari ilishatangulia kambini jijini Dar es Salaam kujiandaa na msimu mpya kabla ya kesho kwenda Zanzibar kuendeleza kambi hiyo na baadae kupaa hadi Morocco na ikirudi nchini itakuwa na kazi ya kusaka mataji katika michuano ya  msimu wa 2024-2025. Awali Azam ilikuwa iondoke Dar es Salaam leo, lakini ikasogeza mbele…

Read More

MBUNGE UMMY APITA VIJIWENI KUHIMIZA WANANCHI KUJIANDIKISHA NA KUSHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA.

Mbunge wa Jimbo la Tanga Mjini (CCM) Mhe Ummy Mwalimu leo Octoba 18 mwaka 2024 ametembelea vijiwe mbalimbali katika mitaa ya Mwambani, Mchukuuni, Mwahako, Mwakidila na Mwang’ombe katika kata za Tangasisi na Masiwani kuhamasisha wananchi kujiandikisha katika daftari la mkazi na pia kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakao fanyika tarehe 27/11/2024. Akizungumza mara…

Read More