MASHINDANO YA UMISSETA YAANZA KUTIMUA VUMBI TABORA 

IKIWA leo Mashindano ya 28 ya Umoja wa Shule za Sekondari Tanzania (UMISETA) yakifunguliwa, tayari mikoa kadhaa imeanza vizuri safari ya kuwania ubingwa wa michezo hiyo inayofanyika mkoani Tabora. Katika michezo ya awali hatua ya makundi kwa upande wa mpira wa kikapu wavulana, wenyeji Tabora wameachapa Kigoma pointi 48-24, Dodoma ikilala kwa Mbeya kwa pointi…

Read More

Wamarekani hawajawa tayari kuongozwa na Rais mwanamke

Wapenzi wa safu hii, niko jijini Washington D.C, mji mkuu wa Marekani, pamoja na mambo mengine nimepata fursa ya kuushuhudia uchaguzi wa Marekani, nchi inayoitwa “The Biggest Democracy” kumaanisha kuwa ni demokrasia kubwa kwa sababu ilipata uhuru wake Julai 4, 1776. Wagombea wakuu ni Kamala Harris anayewakilisha chama cha Democrats ambaye pia ni Makamu wa…

Read More

Nini hatima ya Odinga baada ya mapito yaliyojaa mikosi?

Dar es Salaam. Kushindwa kwa Raila Odinga katika kinyang’anyiro cha Uenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC) kunaibua swali kubwa: nini mustakabali wa kisiasa wa mwanasiasa huyo mkongwe mwenye umri wa miaka 79? Katika uchaguzi uliofanyika Februari 15, 2025, jijini Addis Ababa, Ethiopia, Waziri wa Mambo ya Nje wa Djibouti, Mahmoud Youssouf, alishinda kwa…

Read More

WANANCHI WAASWA KUKOPA KWENYE VIKUNDI VILIVYOSAJILIWA

    Na. Eva Ngowi, WF, KILIMANJARO Serikali imewaasa wananchi kuepuka kukopa fedha kwenye Taasisi ama vikundi vinavyotoa huduma za kifedha bila kusajiliwa rasmi kwa mujibu wa sheria ili kuepuka athari zinazoambatana na mikopo umiza. Tahadhari hiyo ilitolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi Vijijini Bw. Shadrack Mhagama, katika kikao kilichofanyika ofisini kwake…

Read More

Mamilioni yako leo kwa kupiga Penalties

  Kama ulifikiri hela ni ngumu kwa kiasi hicho unajidanganya sikia sasa Pale Meridianbet kuna mchezo wa Kasino unaitwa Beach Penalties, Mchezo huu unakupa mkwanja wa kutosha kwa kupiga penalty tu. Kwa kila pigo moja lina odds zake za ushindi ambazo zitajumlishwa na dau lako uliloweka kuchezea, kama ulikuwa unawaza ni mchezo gani wa kucheza,…

Read More

Yanga yampa ulaji Cheickna Diakite

NYOTA mpya wa Azam FC raia wa Mali, Cheickna Diakite amesema wazi kwamba huenda mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika ulioikutanisha timu aliyokuwa akiichezea ya AS Real Bamako dhidi ya Yanga msimu wa 2022–2023, ndiyo iliyomfanya atue nchini kukipiga kwa matajiri hao wa Chamazi. Winga huyo aliyejiunga na kikosi hicho msimu huu alisema, wakati timu…

Read More