AMREF HEALTH AFRICA TANZANIA YAKABIDHI MAGARI KUIMARISHA HUDUMA ZA AFYA MIKOA YA MARA NA SIMIYU

Sehemu ya Magari yaliyotolewa na Amref Health Africa Tanzania kwa ajili ya kuimarisha huduma za afya katika mikoa ya Mara na Simiyu Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia afya Dkt. Grace Magembe amewaelekeza Makatibu Tawala wa Mikoa ya Mara na Simiyu kuyatunza magari wanayokabidhiwa ili yaendelee kuwahudumia wananchi katika eneo la afya kwa…

Read More

Shinda Mizunguko ya Bure Kila Siku Kupitia Wild White Whale – Global Publishers

Meridianbet, kinara wa michezo ya kubashiri Tanzania, anakukaribisha kwenye promosheni ya mwezi mzima kupitia mchezo wa kasino mtandaoni wa Wild White Whale. Kuanzia tarehe 01 hadi 31 Septemba, kila mchezaji aliyesajiliwa ana nafasi ya kujizawadia mizunguko 50 ya bure kila siku, kwa kukamilisha mizunguko 100 kwa pesa halisi. Hii si bahati nasibu. Haijalishi kama umeshinda…

Read More

Simbu afunguka, ataja  kilichompa ujasiri Tokyo

Bingwa wa dunia wa marathoni, Alphonce Simbu amefunguka kilichombeba katika mashindano hayo alfajiri ya kuamkia leo Septemba 15, 2025 jijini Tokyo Japan. Simbu ametwaa medali ya dhahabu katika mashindano ya 25 ya dunia nchini humo akitumia saa 2:09:48, muda sawa na aliotumia mshindi wa pili, Amanal Petros wa Ujerumani wakitofautiana na Simbu sekunde 0.03, huku…

Read More

WAFANYABIASHARA WAKUBWA NCHINI WASHIRIKI MKUTANO WA NISHATI

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Stanbic Tanzania, Bw. Manzi Rwegasira (kushoto), akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Bw. Abdulmajid Nsekela (kulia), wakati wa Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika ‘Mission 300’ uliomalizika hivi karibuni katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, Dar es Salaam. Katikati ni Ofisa Mtendaji…

Read More

Tambwe aipa ubingwa Singida Black Stars

BAADA ya kuikanda Simba kwa mabao 3-1 katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), Meneja wa Singida Black Stars aliyewahi kuitumikia timu hiyo miaka ya nyuma, Amissi Tambwe amesema haoni kitakachoizuia msimu huu kuandika historia ya kubeba ubingwa wa michuano hiyo. Ushindi huo uliopatikana wikiendi iliyopita kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, uliopo…

Read More

Zanzibar yagundua mapango ya madini,rais azindua

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameziagiza sekta zote zilizoguswa kwenye Ripoti ya Jiolojia na Utafiti wa Madini kuyafanyia kazi maeneo yao kwa kushirikiana na Wizara ya Maji, Nishati, na Madini ili ripoti hiyo ilete tija kwa taifa. Alisema, matumizi sahihi ya ripoti hiyo yatachangia uwekezaji utakaozalisha ajira…

Read More