Freddy namba zinambeba Simba | Mwanaspoti

SIMBA baada ya kuchapwa mabao 2-1 na watani wao wa jadi Yanga kwenye mechi ya ligi wikiendi iliyopita, jana ilikuwa uwanjani Zanzibar kwaajili ya michuano ya Kombe la Muungano lililorejea baada ya miaka 20, ila kubwa zaidi ni namna mshambuliaji wake Freddy Michael anavyojitofautisha na wachezaji washambuliaji wengine wa kikosi hicho. Pamoja na kuwa Simba…

Read More

Mbowe ataka mifumo Tume ya Uchaguzi irekebishwe

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amemtaka Rais Samia Suluhu Hassan kurekebisha mifumo ili kuwe na Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba mpya itamkayolinda na kutetea masilahi ya Watanzania wenye hali duni, wakiwemo wafanyabiashara wadogo na wakulima. Amesema hayo alipohutubia mkutano wa hadhara uliofanyika jana Aprili 24, 2024 katika stendi ya zamani ya mabasi mjini Bariadi…

Read More

LENGO LA SERIKALI NI KUBORESHA MAISHA YA KILA MWANANCHI TARAFA YA NGORONGORO-NCAA

Serikali kupitia Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imesema kuwa ina lengo la kuboresha maisha ya wananchi wa tarafa hiyo kwa kuwaelimisha na kuwahamisha wananchi waliojiandikisha kuhama kwa hiyari kwenda Kijiji cha Msomera Handeni Mkoani Tanga na maeneo mengine nchini. Akizungumza na wananchi wa tarafa ya Ngorongoro kwa nyakati tofauti katika zoezi la uelimishaji, uhamaishaji…

Read More

Dabo: No Dube, No Diao, No Problem!

AZAM imecheza mechi 11 bila ya mshambuliaji asilia, kutokana na Allasane Diao kuwa majeruhi, huku Prince Dube akiisusa timu akilazimisha kuondoka, lakini hilo halijaizuia timu hiyo kupata matokeo mazuri na kocha Youssouph Dabo amefichua kilichombeba licha ya kutokuwa na nyota hao tegemeo.

Read More

Nidhamu yaibeba JKT mbele ya Yanga jeshini

NIDHAMU nzuri ya kujilinda kwa vijana wa Malale Hamsini, JKT Tanzania ni miongoni mwa mambo ambayo yaliifanya Yanga kuwa na wakati mgumu kuifungua ngome ya maafande hao katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Kwa mara ya pili msimu huu wa 2023/24, Yanga imetoka suluhu katika mchezo wa Ligi…

Read More

Mvua zasababisha vifo 155, Majaliwa atoa maelekezo 14

Dar es Salaam. Mvua kubwa za El-Nino zilizoambatana na upepo mkali, mafuriko na maporomoko ya udongo katika maeneo mbalimbali nchini zimesababisha vifo vya watu 155 na wengine 236 kujeruhiwa. Hayo yameelezwa bungeni leo Aprili 25, 2024 katika taarifa ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa hapo kuhusu changamoto za…

Read More

e-BOARD IMETAJWA KURAHISISHA UENDE SHAJI WA VIKAO NA KUPUNGUZA GHARAMA.

Na Mwandishi wetu Matumizi ya Mfumo wa kuwezesha uratibu wa shughuli za uandaaji wa vikao mbalimbali vya bodi na menejimenti katika Halmashauri na Taasisi za Umma. (e-Board), umetajwa kurahisisha uendeshaji wa vikao na kupunguza gharama za maandalizi katika halmashauri ya Manispaa ya Ilemela jijini Mwanza. Akizungumza kuhusu mfumo huo ofisini kwake jijini Mwanza, Mkurugenzi Mtendaji…

Read More