MBETO ASEMA WALICHOKIPAMDA ACT WAZALENDO NDICHO WATAKIVUNA
:::::::::: Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Chama Cha Mapinduzi kimekitaka ACT Wazalendo kisimtafute mchawi katika sakata la kuenguliwa mgombea wao wa urais , badala yake wajue kinachopandwa ndicho kinachovunwa. Pia kimemtaka Kiongozi Mstaafu wa chama hicho Zito Kabwe kuacha kutoa shutuma zisozo na sababu wakati Luhaga Mpina ameengulia kwa kukiuka masharti ya katiba ya chama hicho….