Devotha aahidi ubwabwa kwa wote Chaumma ikiingia Ikulu

Morogoro. Katika harakati za kushawishi wadhamini kwa mtiania wa urais wa Tanzania wa Chaumma, Salum Mwalimu, mtiania mwenza wake, Devotha Minja ameahidi kuboresha lishe nchini. Makamu huyo wa Mwenyekiti wa Chaumma Taifa, Hashim Rungwe upande wa Bara, amesema msimamo wa chama hicho ni kuwa na taifa la watu wanaoshiba kikiongoza Serikali. “Ndugu zangu kwa kutumia…

Read More

Mwendokasi Mbagala kuanza Septemba mosi

Dar es Salaam. Hatimaye kiu ya muda mrefu ya wakazi wa Mbagala inakwenda kupata ahueni baada Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) kusema huduma ya mabasi ya ‘Mwendokasi’ kwa Barabara ya Kilwa itaanza siku kumi zijazo yaani Septemba mosi mwaka huu. Mradi huo wa awamu ya pili wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) unaanza kutoa huduma baada…

Read More

Sharon akumbukwa kwa uchapa kazi, upendo kwa watu

Dar es Salaam. Wafanyakazi, ndugu na jamaa wa aliyekuwa Mwandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Sharon Sauwa wamemwelezea kama mtu aliyekuwa na bidii, upendo na mshauri kwa watu wote waliomzunguka. Sharon alifariki dunia alfajiri ya jana (juzi), akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili – Mloganzila. …

Read More

WAZIRI KOMBO AWASILI JIJINI YOKOHAMA (JAPAN) KUSHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI WA TICAD 9

:::::::::: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasili jijini Yokohama, Japan kumwakilisha Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Kimataifa wa Tokyo kuhusu Maendeleo ya Afrika (Tokyo International Conference on African Development-TICAD 9) ambao unafanyika kwa ngazi…

Read More

Mpunga Mkubwa Upo Mechi za Leo

NI Jumatano nyingi kabisa ya mwezi Agosti ambayo imekuja kukuneemesha ndani ya wakali wa ubashiri Meridianbet kwani mechi nyingi zinaendelea kutoka ligi mbalimbali. Ili kutentengeza pesa bashiri na Meridianbet leo. Mechi za kufuzu Ligi ya Mabingwa yaani UEFA zinaendelea ambapo leo hii Fenerbahce Instanbul atakuwa nyumbani ukiwasha dhidi ya SL Benfica ya kule Ureno. Vijana…

Read More

Naibu Waziri Mkuu kuzindua teknolojia ya kuondoa uvimbe bila upasuaji

Mwandishi Wetu NAIBU Waziri Mkuu, Dotto Biteko anatarajiwa kuzindua teknolojia mpya ya kuondoa uvimbe mwilini bila upasuaji inayofahamika kama High-Intensity Focused Ultrasound (HIFU). Uzinduzi wa teknolojia hiyo utafanyika tarehe 26 mwezi huu kwenye hospitali ya Kairuki Mikocheni jijini Dar es Salaam. Hayo yalisemwa jana na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Kauriki Hospital, Dk Onesmo Kaganda wakati…

Read More

Hiki hapa chanzo wanafunzi kuacha shule

Dar es Salaam. Mwanafunzi mmoja kati ya 24 wa shule za msingi nchini amechelewa kuanza shule, kwa mujibu wa takwimu mpya za umri wa wanafunzi hao mwaka 2025. Wadau wanasema, watoto wanaoanza shule kwa kuchelewa hukumbana na changamoto mbalimbali za kifikra na kihisia kwani wanakuwa na tofauti ya kimakuzi na rika lao darasani. Hii inaweza…

Read More