Ahoua aibeba Simba ikijiimarisha kileleni

SIMBA imeokota pointi tatu zingine ngumu kwenye mchezo uliotoa mshindi dakika za jioni ikiichapa JKT Tanzania kwa bao 1-0, ushindi ukiendelea kuwaweka kileleni katika sikukuu ya Krismasi inayoadhimishwa kesho Jumatano Desemba 25. Bao la kiungo mshambuliaji Jean Charles Ahoua aliyetokea benchi kuchukua nafasi ya Awesu Awesu akilifunga dakika ya 90+5 kwa mkwaju wa penalti baada…

Read More

Baresi: Wakitua hawa tu, mmekwisha

MASHUJAA jana ilipoteza kwa mabao 3-1 mbele ya Dodoma Jiji ikiwa ni kipigo cha tano kwa timu hiyo katika mechi 16 za Ligi Kuu Bara ilizocheza hadi sasa, lakini kocha wa timu hiyo amesema wanaenda mapumziko kujipanga upya na kubwa anachofanya ni kuongeza mashine chache kikosini ili mambo yawe matamu zaidi.

Read More

Rais wa TWCC Atoa Wito kwa Wanawake na Vijana Wafanyabiashara Kushirikiana Katika Biashara

Baadhi ya Wanawake na Vijana wakiwa kwenye mafunzo kuwawezesha manunuzi ya umma. Na Avila Kakingo, Michuzi Tv RAIS wa Chama cha Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TWCC), Mwajuma Hamza, ametoa wito kwa wanawake na vijana wafanyabiashara kushirikiana na kupeana kazi pale wanapopata tenda za kufanya.  Hayo ameyasema leo Machi 6, 2025  jijini Dar es Salaam, Akifungua mafunzo ya…

Read More

Usajili wa televisheni za mtandaoni wapungua

  Ripoti ya robo mwaka ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema idadi ya televisheni za mtandaoni nchini imepungua kutoka 231 hadi 215. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Kwa mujibu wa ripoti hiyo, wamiliki wa leseni za televisheni za mtandaoni zimepungua kwa asilimia 7.4. Upungufu huo umeshuhudiwa kati ya mwezi Machi hadi…

Read More

Korea yatoa bilioni 422 ujenzi hospitali Binguni

Serikali ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Korea zimesaini Mkataba wa Mkopo nafuu wa Sh  422.16 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Binguni, Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Mkataba wa Mkopo huo umesainiwa jijini Soeul leo tarehe 5 Juni 2024 na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dk. Natu Mwamba kwa…

Read More

Kibarua kocha mpya Singida BS kipo hapa

KOCHA mpya wa Singida Black Stars, Hamdi Miloud amekiri kibarua alichonacho baada ya kukabidhiwa mikoba ya kuinoa timu hiyo sio rahisi, licha ya kufurahia kukutana na wachezaji wenye ubora na uwezo mkubwa ambao anaendelea kuwasoma kabla ya kuanza mambo katika Ligi Kuu baadae Machi, mwaka huu. Licha ya kuwa na uzoefu  na mafanikio katika soka…

Read More