EMPOWERING FEMALE ENTREPRENEURS AND BUSINESS OWNERS: CFAO MOBILITY TANZANIA AND STANBIC BIASHARA INCUBATOR UNITE ON INTERNATIONAL WOMEN’S DAY

  In celebration of International Women’s Day, CFAO Mobility Tanzania and Stanbic Biashara Incubator collaboratively hosted an impactful event aimed at empowering female entrepreneurs and business owners. The event hosted at Stanbic Biashara Incubator offices in Dar es Salaam witnessed a gathering of accomplished women from diverse sectors who generously shared their success stories and…

Read More

GGML yasisitiza kuendelea kuimarisha afya za wafanyakazi

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited kwa kushirikiana na kampuni mbalimbali imeahidi kuendelea kusimamia mipango ya kuimarisha na kusimamia afya za wafanyakazi dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hayo yamebinishwa katika kongamano la kwanza la mashirika na kampuni hizo (CWC) lililofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Kongamano hilo liliandaliwa na taasisi…

Read More

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Kampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya Akmenite Limited Lithuania, inatarajia kutumia dola za Marekani milioni 15 (Sh 38.9 bilioni) kujenga viwanda vitatu vya uchenjuaji wa madini ya metali katika mikoa ya Ruvuma, Dodoma na Lindi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Arunas Sermuksnis Hayo yamebainishwa leo Jumanne na Mkurugenzi wa Kampuni ya…

Read More