Sakata la sukari lamuibua Kingu, ataka wananchi walindwe

Dodoma. Mbunge wa Singida Magharibi (CCM), Elibariki Kingu amewakemea vikali baadhi ya watu wenye maslahi yao binafsi kutaka kukwamisha mpango wa Serikali wa kutaka kuwalinda watumiaji wa mwisho wa bidhaa ya sukari. Kingu ameyasema hayo bungeni leo Alhamisi Juni 20, 2024 alipokuwa akichangia mjadala wa bajeti ya Serikali kwa mwaka 2024/2025 ya Sh49 trilioni. Amesema…

Read More

TPHPA kununua ndege ya kuangamiza Kweleakwelea

Tabora. Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA), imesema Serikali kupitia Wizara ya Kilimo ipo katika hatua za mwisho za kununua ndege maalumu itakayogharimu zaidi ya Sh6 bilioni kwa ajili ya kumwaga sumu ili kuua kweleakwelea wanaoshambulia mazao. Inaelezwa kuwa hatua hiyo inalenga kupunguza hasara wanazokumbana nazo wakulima kila mwaka kutokana na ndege…

Read More

Serikali yaipongeza CRDB Bank Foundation kuwawezesha kiuchumi vijana na wanawake wajasiriamali nchini

Mkurugenzi wa Jinsia wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Badru Abdunuru aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla ya mafunzo ya ujasiriamali na elimu ya fedha akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni 150 Mkurugenzi Mtendaji wa Asasi ya Data Sustainable Development Organization, Sihaba Madenge ambazo ni mtaji wezeshi kwa baadhi ya…

Read More

Ubingwa WPL… Yanga yatibua hesabu za Simba

KIPIGO cha mabao 2-0 ilichopata jioni hii Yanga Princess mbele ya JKT Queens kimetibua hesabu za watetezi wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), Simba Queens katika mbio za ubingwa kwa msimu huu. Yanga Princess ilikubali kichapo hicho kwenye Uwanja wa KMC Complezxx, Mwenge Dar es Salaam na kuiwezesha JKT kurejea kileleni ikiing’opa Simba Queens inayotetea…

Read More

JKCI yaokoa Sh1.2 bilioni kwa kutibu watoto 40 nchini

Dar es Salaam. Upasuaji wa watoto 40 wenye matatizo ya kuzaliwa nayo ya moyo uliofanyika kwa siku nane nchini umeokoa Sh1.2 bilioni ambazo zingetumika kama wangetibiwa nje ya nchi. Madaktari wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao kutoka nchini Uingereza kesho Aprili 26, wanahitimisha siku nane za upasuaji wa watoto…

Read More

Ukweli kuhusu kucheza kwa jicho

Dar es Salaam. Ni dhana iliyojengeka miongoni mwa wanajamii kwamba, jicho likicheza ni ishara ya kutokea jambo liwe baya au zuri. Kila mmoja na mtazamo wake, wapo wanaoamini kucheza kwa jicho ama la kulia au koshoto huashiria kutokea tukio la furaha au huzuni. Baraka John, mkazi wa Kimara jijini Dar es Salaam anasema siku jicho…

Read More