Rais Samia kufanyiwa maombi maalum

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Kanisa la Uamsho na Matengenezo ya Kiroho, limeandaa kongamano la maombi maalum ya kuliombea Taifa pamoja na  Rais Dk. Samia Suluhu Hassan yatakayofanyika Aprili 28,2024 kwenye viwanja vya Suma JKT, Mwenge jijini Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa  habari leo Aprili 23,2024, jijini, Kiongozi wa kanisa hilo, Mwalimu Augustine …

Read More

SIMANJIRO WASHIRIKI KULIOMBEA TAIFA – MICHUZI BLOG

Na Mwandishi wetu, Mirerani Viongozi wa dini, wa Serikali, wanachama na wakereketwa wa CCM wa Wilaya ya Simanjiro, Mkoani Manyara, wamefanya maombi ya kuliombea Taifa kwa kutimiza miaka 60 ya muungano wa Tanzania. Maombi hayo yamefanyika mji mdogo wa Mirerani yakiongozwa na viongozi wa madhehebu mbalimbali huku mgeni maalum akiwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa…

Read More

MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA UJUMBE KUTOKA SHIRIKA LA ‘CHRISTIAN BLIND MISSION’ (CBM).

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Othman Masoud Othman, Leo Aprili 23, 2024 amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe kutoka Shirika la Kimataifa lisilo la Kiserikali, linalojihusisha na Afya ya Macho Jumuishi na Watu Wenye Ulemavu, ‘ Christian Blind Mission’ (CBM). CBM lenye Makao yake Makuu Nchini Ujeruman, ambalo limejikita zaidi katika Mpango…

Read More

Kombe la Muungano lilifia hapa

KLABU ya Yanga ya Dar Es Salaam imegoma kushiriki mashindano mapya ya Kombe la Muungano, yatakayofanyika Aprili 23 hadi 27 mjini Zanzibar. Rais wa Shirikisho la soka Zanzibar (ZFF), Suleiman Mahmoud amesema kwamba timu za Simba na Azam FC ndizo pekee kati ya zilizopewa mwaliko kutoka Bara zilizothibitisha kushiriki. Mahmoud ameeleza kuwa walipokea barua ya…

Read More