Makato kodi ya majengo yazua taharuki

Dar es Salaam. Mwaka mpya wa fedha wa 2024/25 ukianza, wananchi wamelalamika kuongezeka makato ya kodi ya majengo kuanzia Julai Mosi 2024. Hata hivyo, Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limesema ongezeko hilo ni malipo ya deni walilopaswa kukatwa Julai, 2023. Kwa mujibu wa shirika hilo, kodi ya jengo kwa nyumba za kawaida imesalia Sh1,500 kwa…

Read More

Dk Mpango ‘awashukia’ watumishi wa Mungu

Arusha. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango, ametoa rai kwa viongozi wa dini nchini na barani Afrika kujikita katika misingi ya kidini badala ya hali inayoshuhudiwa sasa, baadhi wakiondoana kwenye nyumba za ibada wakigombea madaraka na rushwa. Amesema pia wamekuwa wakituhumiana kwa ushirikina, matumizi mabaya ya fedha na mali za kanisa, kuajiriana kwa upendeleo na…

Read More

Maxime amvuta Nizar Dodoma Jiji

BAADA ya Dodoma Jiji kufikia makubaliano na aliyekuwa Kocha wa Singida Black Stars, Mecky Maxime ili kuinoa timu hiyo msimu ujao, tayari amependekeza jina la Nizar Khalifan ili akawe msaidizi wake ndani ya kikosi hicho cha walima Zabibu. Mwanaspoti linatambua licha ya Maxime kutotangazwa hadi sasa ila tayari amesaini mkataba wa miaka miwili huku akiwa…

Read More

Mkandarasi AUP-U atakiwa kukamilisha mradi

Unguja. Kaimu Kiongozi wa Timu ya Kazi kutoka Benki ya Dunia, Lulu Dunia amemtaka Mkandarasi wa mradi wa uimarisha Miji Unguja (AUP-U), kuuwekea mpango kazi na muda wake ili kujipima katika kuukamilisha. Mradi huo ni sehemu ya utekelezaji wa mradi mkuu wa Ukuzaji Uchumi Jumuishi Zanzibar (BIG-Z) unaogharimu Dola za Marekani 150 (Sh404.472 bilioni unaotekelezwa kwa…

Read More

MKUTANO WA SADC WAFANYWA KWA NJIA YA MTANDAO

:::::: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania . Dkt. Philip Mpango amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Dharura wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliyofanyika kwa njia…

Read More

Julio akoleza mzuka Morocco | Mwanaspoti

KOCHA Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ni miongoni wa Wanasimba walioambatana na timu hiyo kuja hapa Morocco na kukoleza mzuka kabla ya mechi ya kwanza ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane, Jumamosi ijayo na kama kawaida yake amekoleza mzuka kwa kuhamasisha mastaa. Mechi hiyo itachezwa saa 1:00 usiku kwa saa za hapa…

Read More

Ukamataji unavyozua hofu ya utekaji

Dar es Salaam. Ukiukaji wa utaratibu wa ukamataji unaofanywa na vyombo vya dola, umezua hofu miongoni mwa wananchi, ambao wanauhusisha na matukio ya utekaji. Katika siku za hivi karibuni kumeibuka matukio ya watu kukamatwa yakihusishwa na utekaji, huku mengine yakihusisha watendaji wa vyombo hivyo. Tukio la hivi karibuni ni la dereva ambaye kwa sasa anashikiliwa…

Read More

Jela maisha kwa kulawiti mtoto wa miaka 12 Mufindi

Mufindi. Mahakama ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, imemuhukumu kifungo cha maisha jela mkazi wa kijiji cha Ibatu Kata ya Igowole Tarafa ya Kasanga, Michael John Ngunda (27) baada ya kumtia hatiani  kwa kosa la kumlawiti mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka (12). Hukumu hiyo imetolewa jana Machi 12, 2025 na Hakimu Mkazi Sekela…

Read More