Clara Luvanga namba zimempa heshima Saudia

KAMA kuna msimu bora kwa mshambuliaji wa Kitanzania, Clara Luvanga anayeitumikia Al Nassr ya Saudia basi ni huu. Mambo ambayo ameyafanya msimu huu hasa kuwatesa mabeki na makipa wa timu pinzani kwa mabao ya mbali yamempa sifa kubwa nyota huyo wa Kitanzania. Sio jambo la ajabu kumuona nyota huyo akionyesha kiwango bora kwani amekuwa akifanya…

Read More

Mambo matatu yanayomsukuma Othman kujitosa urais Zanzibar

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, ambaye ametia nia ya kugombea urais kupitia chama chake, amesema akipewa ridhaa atashughulikia mambo matatu mahsusi ili kuwasaidia Wazanzibar, ikiwemo kuwaunganisha. Othman amebainisha hayo katika mahojiano maalumu na Mwananchi, yaliyofanyika nyumbani kwake Unguja, Zanzibar. Amesema miongoni mwa mambo hayo ni kuguswa na maisha ya…

Read More

Wamarekani leo kuamua ni Trump au Kamala

Washington. Wamarekani wanatarajia kupiga kura leo kukamilisha mbio za uchaguzi mkuu wa Taifa hilo lenye nguvu duniani zilizotanguliwa na kampeni za wagombea, Rais wa zamani, Donald Trump na Makamu wa Rais, Kamala Harris. Mshindi katika uchaguzi huo, atatangazwa kuwa Rais wa 47 wa Marekani, akichukua nafasi ya Rais Joe Biden aliyekuwa madarakani kwa muhula mmoja…

Read More

Kwanini mikataba ya uwekezaji ipitiwe upya Tanzania?

Katika miaka kadhaa iliyopita Tanzania iliingia hasara ya mabilioni ya shilingi iliyolipa kama fidia kwa kampuni mbalimbali kutokana na kushitakiwa kwenye mahakama za usuluhisi za kimataifa kuhusu mikataba ya uwekezaji. Mfano, Oktoba 2023, mgogoro kati ya kampuni ya Winshear Gold Corp ya nchini Canada ulitamatika kwa suluhu nje ya mahakama, baada ya Tanzania kukubali kulipa…

Read More

HATIFUNGANI YA KIJANI YA MAMLAKA YA MAJI TANGA YAFANIKIWA KUKUSANYA 103% YA MAUZO YALIYOTARAJIWA.

Hatifungani ya kijani ya Mamlaka ya Maji Tanga ambayo ni ya Kwanza kuwahi kutokea Afrika Mashariki imefanikiwa kukusanya asilimia 103% ya mauzo yaliyotarajiwa. Hatifungani hiyo yenye thamani ya shilingi Bilioni 53.12 ilianza kuuzwa tarehe 22, Februari 2024 na kufanikiwa kuorodheshwa kwenye soko la hisa Dar es salaam (DSE) leo tarehe 15 Mei,2024 Hatifungani hiyo yenye…

Read More

Shinda mamilioni leo na Meridianbet

  Ni siku nyingine ya kufurahia uwepo wa kampuni bingwa ya michezo ya kubashiri Meridianbet kwani leo unaweza kuendelea kushinda mamilioni kupitia michezo mbalimbali ambayo itakwenda kuchezwa leo. Michezo mbalimbali itaendelea ikiwemo michuano ya Uefa Nations League, michuano ya kufuzu Afcon mwaka 2025, Lakini pia michuano ya kufuzu kombe la dunia mwaka 2026 kwa upande…

Read More

Mke, wanawe watoweka kipigo chatajwa chanzo

Dar es Salaam. Mama na wanawe wawili wamekimbia katika nyumba waliyokuwa wakiishi na mumewe, Yangeyange Kata ya Msongola wilayani Ilala, jijini Dar es Salaam. Ni mama anayefahamika kwa jina la Faraja Ng’andu (32) na mke wa John Mtulya, ambaye ugomvi, kipigo na kufungiwa ndani na mumewe ilikuwa sehemu ya maisha kabla ya kutoweka kwake. Juhudi…

Read More