NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia

BENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120 milioni kudhamini Mkutano Mkuu wa 38 wa Mwaka wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT Taifa), unaofunguliwa Jumanne tarehe 23 Aprili 2024 na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ukiwakutanisha washiriki zaidi ya 600. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kiasi hicho kinachodhamini mkutano wa mwaka huu unaofanyika…

Read More

Rais Samia aridhishwa utendaji mabalozi, awapa neno

Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amewapongeza mabalozi  wanaowakilisha  Tanzania katika nchi mbalimbali duniani kwa kazi nzuri ya uwakilishi ambayo inaonekana kwa kuongezeka kwa masoko ya bidhaa za Tanzania, biashara, uwekezaji, utalii na teknolojia nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Rais Samia ametoa pongezi hizo leo tarehe 22 Aprili 2024 alipokuwa anawahutubia Mabalozi hao kwa…

Read More

Tanzania kinara idadi ya nyati na simba Afrika

Arusha. Tanzania imefanikiwa kuwa kinara wa idadi kubwa ya wanyamapori aina ya nyati na simba barani Afrika. Kwa upande wa nyati, Afrika nzima wako 401,000 na kwa Tanzania pekee, wako 225,000 ikifuatiwa na Afrika Kusini (46, 000), Msumbiji (45, 000), Kenya (42, 000) na Zambia (41, 000). Tanzania pia inaongoza kwa kuwa na simba wengi,…

Read More

DKT. JIM YONAZI AONGOZA MKUTANO WA TANZANIA NATIONAL COORDINATING MECHANISM (TNCM)

Na. Mwandishi Wetu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi ambaye ni Mwenyekiti wa TNCM ameongoza Mkutano wa Tanzania National Coordinating Mechanism (TNCM) ulilenga kujadili mikakakati mbalimbali itakayoongeza tija na ufanisi katika utekelezaji wa Programu za Malaria, UKIMWI na Kifua Kikuu zinazofadhiliwa na Mfuko wa Dunia…

Read More

Dk. Mpango awataka Watanzania kuuombea Muungano wakizingatia falsafa za 4R

Na Nora Damian, Mtanzania Digital-Dodoma Makamu wa Rais, Dk. Philip Mpango amewataka Watanzania kujivunia miaka 60 ya Muungano na kuuombea uendelee kudumu huku wakizingatia falsafa za 4R yaani maridhiano, ustahamilivu, mageuzi na kujenga upya. Akizungumza Aprili 22,2024 wakati wa maombi na dua ya kuliombea taifa yaliyofanyika katika viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma, amesema ni baraka…

Read More

Dk Mpango, Sheikh Ponda wakemea uovu, wasisitiza amani

Dodoma. Makamu wa Rais Dk Philip Mpango amesema pale kwenye madai kuwa haki haitendeki, wahusika wafuate taratibu za kutoa taarifa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama ili hatua stahiki zichukuliwe kwa wakati. Dk Mpango ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Aprili 22, 2024 Jijini Dodoma kwenye maombi na dua maalumu ya kuliombea Taifa iliyofanyika kwenye Uwanja…

Read More