
NMB yadhamini Mkutano Mkuu ALAT, kufunguliwa na Samia
BENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. 120 milioni kudhamini Mkutano Mkuu wa 38 wa Mwaka wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT Taifa), unaofunguliwa Jumanne tarehe 23 Aprili 2024 na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ukiwakutanisha washiriki zaidi ya 600. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kiasi hicho kinachodhamini mkutano wa mwaka huu unaofanyika…