Wakala wa ugani, maabara kupaisha kilimo

Dodoma/Dar. Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kuanzishwa wakala wa huduma za ugani nchini, utakaorahisisha utoaji huduma kipindi chote cha mwaka, huku akitaka ofisi zake za makao makuu ziwe Nanenane mkoani Dodoma. Sambamba na hilo, ametaka viwanja vya maonyesho ya Nanenane jijini Dodoma viitwe jina la Waziri Mkuu mstaafu, Samwel Malecela, kuenzi utumishi wake katika nafasi…

Read More

THBUB YATOA TAMKO KUHUSU KUPOTEA KWA WATU NCHINI

Na Gideon Gregory, Dodoma. Kufuatia matukio ya kupotea kwa watu nchini Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), imesema inaendelea kufanya chunguzi maalum za matukio hayo kwa lengo la kubaini, pamoja na mambo mengine chanzo na wahusika ili kutoa mapendekezo stahiki. Hayo yameelezwa leo Agosti 22,2024 Jijini Dodoma na Mwenyekiti wa Tume hiyo…

Read More

Usajili matibabu bure kwa makundi maalumu mbioni

Unguja. Wasimamizi wa jumuiya zinazohudumia kaya masikini na watoto yatima,  wametakiwa kusimamia kikamilifu usajili wa kundi hilo katika Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF) ili kuwarahisishia kupata matibabu.  Pia, wadau wa maendeleo na watu wenye uwezo,  wameombwa kujitokeza kuchangia mfuko huo kulisaidia kundi hilo. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa ZHSF, Yaasin Ameir Juma ametoa kauli…

Read More

Benja FC wababe wa Tulia Trust Uyole Cup 2024

TIMU ya soka ya Benja FC imetwaa ubingwa wa michuano ya Tulia Trust Uyole Cup 2024 iliyofikia tamati leo kwenye Uwanja wa Mwawinji, uliopo Uyole Mbeya Mjini. Benja imetwaa ubingwa huo baada ya kuichapa Mbeya Smart Soccer Academy kwa mabao 5-4 yaliyofungwa kwa penalti baada ya kumaliza dakika 90 zikiwa zimetoshana nguvu kwa sare ya…

Read More

TBT Queens yaichapa Spides Sisters

TBT Queens ilifanya kweli ni baada ya kuifunga timu ya Spides Sisters kwa pointi 54-44, katika ligi ya kikapu ya Mkoa wa kigoma iliyofanyika katika Uwanja Lake Side. Katibu mkuu wa chama cha mpira wa kikapu mkoa wa Kigoma Aq Qassim Anasi, alisema ligi hiyo itaendelea  kesho kwa mchezo kati Lake Side na Wavuja Jasho….

Read More

Wapinzani Kenya waungana kumkabili Ruto

Nairobi.  Wakati Serikali ya Kenya chini ya Rais William Ruto ikipitia misukosuko kutoka kwa wananchi wake, viongozi wa vyama vya upinzani wameungana ili kumkabili huku wakiapa kumwondoa madarakani kwenye uchaguzi ujao, mwaka 2027. Wapinzani hao wameungana zikiwa zimepita siku chache tangu kufanyika kwa maandamano ya Sabasaba yaliyofanyika Julai 7, 2025 katika kaunti 17 nchini humo…

Read More

THBUB YATOA MAPENDEKEZO 4 KWA SERIKALI NA WADAU KUELEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MACHI 8 2025.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu amesema kuwa Tume hiyo inatambua jitihada za Serikali na Wadau katika kuhakikisha Wanawake wanapata Haki zao na Kuwezeshwa kisiasa,kiuchumi na kijamii ambapo pamoja na jitihada hizo bado zipo changamoto kwao ikiwemo ukatili wa kijinsia na ushiriki…

Read More