Ajali yaua 13 Kilwa | Mwananchi

Kilwa. Watu 13 wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Somanga Wilayani Kilwa Mkoa wa Lindi. Akizungumzia ajali hiyo leo Jumatatu Aprili 22, 2024  kwenye eneo la tukio, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, John Imori, amesema ajali hiyo imetokea saa 1:30 asubuhi. Amesema gari dogo la abiria aina…

Read More

Manji: Tatizo la Simba ni mtu huyu

ALIYEWAHI kuwa Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, Jumamosi iliyopita alishuhudia mchezo wa Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba na kusema: “Tatizo la Simba ni mtu huyu.” Yanga ikiwa mwenyeji kwenye mchezo huo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam kuanzia saa 11:00 jioni, ilifanikiwa kuichapa Simba mabao…

Read More

UKARABATI WA SOKO LA KARIAKOO WAFIKIA ASILIMIA 93

UJENZI wa ukarabati wa Soko la Kariakoo umefikia asilimia 93 kukamilishwa tayari kuwarejesha wafanyabiashara kwenye soko hilo ambapo hadi sasa hatua kadhaa zimeendelea kuchukuliwa ikiwemo utambuzi na uhakiki wa waliokuwa wafanyabiashara kabla ya janga la moto. Akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 22, 2024 jijini Dar es Salaam, Kaimu Meneja Mkuu wa Shirika la…

Read More

Sugu akubali mdahalo na Msigwa, kila mmoja akitamba

Mbeya. Siku moja baada ya mgombea uenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa kumtaka mpinzani wake, Joseph Mbilinyi “Sugu” kwenye meza ya mdahalo, mpinzani wake huyo amesema yupo tayari wakati wowote. Jana, Jumapili Aprili 21, 2024 akirejesha fomu ya kutetea nafasi yake, Mchungaji Msigwa alimtumia salamu Sugu akimtaka kwenye mdahalo mmoja ili kuulizwa…

Read More

Vijiji 52 Mvomero kunufaika na mradi wa LTIP

Vijiji takribani 52 katika Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro vitanufaika na Mradi waUboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) kwa kuandaliwa mipango ya matumizi yaardhi ya vijiji. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Bi. Judith Nguli wakati wa kujadiliutekelezaji wa Mradi huo katika ukumbi wa Halmashauri ya Mvomero, tarehe 22 Aprili 2024 Mkoani…

Read More

Israel military intelligence chief quits over 7 October

ISRAEL: The Israeli military’s intelligence chief has resigned, saying he took responsibility for the failures before Hamas’s attack on Israel on 7 October. The Israel Defense Forces (IDF) said Major General Aharon Haliva would retire once his successor was selected. In a letter, he acknowledged that his intelligence directorate “did not live up to the…

Read More