Makamba ataja maeneo ya kuboresha mambo ya nje

  WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba ametumia takribani saa moja kuelezea maeneo ambayo yatajajadiliwa katika warsha ya Mabalozi wanaowakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani inayofanyika katika Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere mjini Kibaha kuanzia tarehe 21 hadi 24 Aprili 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…

Read More

Watu 13 wazuiliwa baada ya kukamatwa na mbuzi wakidaiwa kutaka kutoa dhabihu huko Jerusalem

Watu 13 wamezuiliwa karibu na Mlima wa Hekalu la Jerusalem wakiwa na wana-kondoo na mbuzi ambao walikusudia kuwatoa dhabihu katika ibada ya Kibiblia ya Pasaka, polisi walisema katika taarifa. Katika tukio moja, mbuzi alipatikana akiwa amefichwa ndani ya gari la kubebea watoto, huku mshukiwa mwingine akijaribu kusafirisha mbuzi kwenye eneo la kumweka ndani ya begi…

Read More

13 killed in Somanga road crash

LINDI: A total of 13 people have died in a grisly crash on the Somanga-Kilwa highway Monday, Police said. Lindi Regional Police Commander, Assistant Commissioner of Police (ACP), John Imori said six others had survived injuries after a commuter vehicle crashed with an oil tanker early on Monday. ALSO READ: Why Sub-Saharan Ahmadiyya leaders met…

Read More

Siri ya Taliss ubingwa wa kuogelea hii hapa

Nahodha wa Taliss Swim Club, Delbert Ipilinga amefichua siri ya kuibuka washindi wa jumla kwenye michuano ya 16 ya Klabu Bingwa Tanzania (TNCC) kuwa ni bidii na uthubutu. Klabu hiyo ilikusanya pointi 385 katika michuano ya siku mbili iliyofanyika katika Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST) jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. “Nashukuru tumetwaa…

Read More

Mikoa hii ijipange kwa mvua kuanzia leo

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo la mvua kubwa na ngurumo kwa mikoa 26 ya Tanzania Bara na visiwa vya Unguja na Pemba kuanzia leo Aprili 22, 2024. Mikoa ambayo inapata mvua leo Aprili 22, 2024 kwa mujibu wa TMA ni Dar es Salaam, Tanga, Pwani, Morogoro, Lindi, Mtwara,…

Read More