Askofu Nyaisonga: Vijana msitumike kwenye uchaguzi

Mbeya. Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mbeya, Mhashamu Gervas Nyaisonga amekemea tabia ya baadhi ya vijana kutumika kwenye uchaguzi, matukio ya utekaji na mauaji ya watu wasio na hatia. Mbali na kauli hiyo amewataka vijana kuepuka kujiingiza kwenye biashara haramu, uraibu wa pombe na mmomonyoko wa maadili hususan kuelekea uchaguzi mkuu wa…

Read More

AKES yafadhili wawili mtalaa wa kimataifa

Dar es Salaam. Shirika la Huduma za Elimu la Aga Khan (AKES) kwa kushirikiana na Benki ya DTB limetoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi wawili kujiunga na programu ya diploma katika mtalaa wa kimataifa unaofahamika kama International Baccalaureate (IB). Wanafunzi hao, Munir Athuman kutoka Shule ya Sekondari Istiqama mkoani Tanga na Simin Alladin kutoka sekondari…

Read More

MCT YAVITAKA VYOMBO VYA HABARI NCHINI KUANZISHA MADAWATI YA USHAURI WA KISHERIA.

Na Vero Ignatus Arusha. Vyombo vya habari nchini vimetakiwa kuanzisha  na kuendeleza madawati ya sheria,yatakayo wasaidia kuwaondoa waandishi wa habari kuingia katika makosa ya kisheria kuelekea uchaguzi mkuu ujao. Rai hiyo imetolewa leo Agosti 20,2025 Kijijini Arusha na Katibu mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania Ernest Sungura,katika mafunzo na msaada wa kisheria kwa waandishi wa…

Read More

Asilimia 17.1 ya nguvu kazi Dar haitumiki

Dar es Salaam. Licha ya Jiji la Dar es Salaam kuwa kitovu cha biashara, tathmini inaonyesha asilimia 17.1 ya nguvu kazi ya jiji hilo haitumiki kwa sababu ya kukosa shughuli za kufanya. Hiyo ni kwa mujibu wa takwimu za ripoti ya Sensa ya Watu na Makazi 2022, ambazo zinaonyesha wanawake ndio wanaongoza kwenye kundi hilo…

Read More