Balozi wa Iran: Kenya Haina Kituo cha Kijeshi cha Marekani cha Kushambulia Iran
Balozi wa Iran nchini Kenya, Dkt. Ali Gholampour Balozi wa Iran nchini Kenya, Dkt. Ali Gholampour, amesema Kenya haina kituo cha kijeshi cha Marekani chenye uwezo wa kushambulia Iran, hivyo hakuna sababu ya taifa hilo la Afrika Mashariki kuwa shabaha ya mashambulizi ya Iran. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Nairobi, balozi huyo alisisitiza kuwa…