Mzungu aliposhindwa kutamka songela akaita Songea

Songea ndio mji unaoubeba Mkoa wa Ruvuma ambao kabla ya uhuru ulikuwa sehemu ya jimbo la kusini sambamba na Mtwara na Lindi. Kwa mujibu wa Chifu wa Wangoni, Imanuel Zulu, jina Songea lilitokana  na neno songela linalomaanisha mlango na kwamba  mtawala wa kwanza wa Wangoni  Chifu Inkosi Mputa  bin Gwazerapasi Gama, aliwafungulia watu mlango kuingia…

Read More

Diao anateseka kwa Bacca, Job

MSHAMBULIAJI wa Azam, Alassane Diao amesema tangu aanze kucheza Ligi Kuu Bara nyota waliompa wakati mgumu ni Ibrahim Bacca na Dickson Job. Raia huyo wa Senegal (22), ambaye ameichezea Azam misimu miwili mfululizo ameweka rekodi ya kufunga mabao matatu muda wote alioitumikia klabu hiyo amesema wachezaji hao ndio waliompa shida katika kukabiliana nao kwenye uwanja…

Read More

Waumini waeleza sababu kupinga Kanisa lao kufungwa

Dar es Salaam. Waumini wa kanisa la Christian Life Church linaloongozwa na Mchungaji Domique Kashoix Dibwe, maarufu Kiboko ya Wachawi, lililopo Buza Kwa Lulenge jijini Dar es Salaam wamesema miongoni mwa sababu zinazowafanya kupinga uamuzi wa Kanisa hilo kufungiwa ni huduma za kiroho na uponyaji walizokuwa wakizipata kanisani hapo. Waumini hao wamefika kanisani hapo asubuhi…

Read More

MKUU WA MKOA WA TANGA ATEMBELEA BANDA LA TEA.

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi. Dkt. Batilda Salha Burian leo tarehe 30 Mei 2024 ametembelea banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) katika maonyesho ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu ambako amepata maelezo kuhusu majukumu na mchango wa TEA katika kuboresha mazingira ya kujifunza na kufundishia. Mhe. Balozi Burian ameipongeza TEA kwa kazi za uboreshaji…

Read More

Mtibwa pointi, Namungo nafasi, | Mwanaspoti

MECHI ya Mei 20, itakayopigwa Uwanja wa Namungo, Morogoro, itakuwa ya kusaka nafasi kwa Namungo kupanda nafasi za juu kwa  Mtibwa Sugar kuongeza pointi hata ikishinda itasalia nafasi ileile (mkiani). Namungo imecheza mechi 27, imeshinda  saba sare 10 na imefungwa  10, inamiliki mabao 22, imefungwa mabao 25 na imekusanya pointi 3, ipo nafasi ya nane, …

Read More

Ma-DED vinara kulalamikiwa | Mwananchi

Dar es Salaam. Sekretarieti ya Maadili ya Uongozi wa Umma imesema wakurugenzi watendaji wa halmashauri (Ma-DED), watendaji wakuu wa taasisi na mameneja wanaongoza kwa kulalamikiwa na wananchi. Imeelezwa kiwango cha kulalamikiwa kwa makundi hayo ni asilimia 100. Hayo yamebainishwa jijini hapa jana wakati taasisi hiyo, ilipoeleza taarifa yake ya maadili kwa kipindi cha miaka mitano…

Read More

Badru awataka watumishi wa umma kuchangamkia fursa ya uwekezaji WHI

Na Mwandishi wetu MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Taasisi ya Watumishi Housing Investment (WHI), AbdulRazak Badru ametoa wito kwa watumishi wa Umma kuchangamkia fursa ya uwekezaji kupitia dirisha E-Wekeza linalotarajiwa kuzinduliwa na serikali kupitia mfumo wa watumishi portal hivi karibuni.  Badru ameyasema hayo wakati akizungumza na wawekezaji na wajumbe wa bodi katika Mkutano Mkuu…

Read More