
RAIS SAMIA KUANZA KUJENGA RELI YA KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM NA DODOMA
Na Mwandishi wetu, Morogoro Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema, Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ipo mbioni kuanza ujenzi wa reli ya Jiji la Dar es Salaam (Commuter Rail Network) ndani ya miaka 30 ijayo. Kadogosa amebainisha hayo wakati akitoa wasilisho katika kikao…