
Msigwa ataka mdahalo na Sugu uenyekiti Kanda ya Nyasa
Mbeya. Mgombea uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa amesema mkakati wa chama hicho ni kupambana na kushinda katika uchaguzi ujao. Amesema iwapo atafanikiwa kutetea kiti hicho, atapambana kuhakikisha anapunguza udumavu uliopo katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini licha ya kuzalisha chakula cha kutosha. Msigwa amemtumia salamu…