Unywaji pombe haramu bado tishio Kilimanjaro

Hai. Baadhi ya wananchi wa vijiji vinne vilivyopo Kata ya Narumu, Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, wametajwa kuongoza kwa unywaji wa pombe haramu kupita kiasi, hasa katika saa za kazi, hali inayodaiwa kuchangia kuzorota kwa shughuli za maendeleo. Hayo yameelezwa na Mwanasheria wa Halmashauri ya wilaya hiyo, Blandina Mweta, Aprili 30, wakati akiwasilisha rasimu ya…

Read More

Taifa yaimba na Mbosso | Mwanaspoti

Ni burudani tu ndani ya Uwanja wa Mkapa katika Simba Day, ambapo mashabiki wa Simba wameimba pamoja na msanii Mbosso. Mbosso ambaye ameanza kwa kuimba wimbo wake mpya wa Selemani kabla ya kuimba vigongo vyake kadhaa amewateka zaidi mashabiki kwa kuimba nao ‘live’ wimbo wake wa ‘Haijakaa sawa’ ambao aliutoa wakati yupo chini ya lebo ya…

Read More

Fadlu anasa faili la Azam

WAKATI Simba ikijiandaa na kucheza ugenini kesho dhidi ya Azam FC, kocha wa kikosi hicho Fadlu David amefunguka kuwa anazo taarifa zote za wapinzani hao huku mastaa wajitapa hadharani juu ya pambano hilo litakalopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, mjini Unguja Zanzibar. Simba inakwenda kucheza mchezo wa tatu wa ligi, huku Azam ikiwa inaingia…

Read More

EQUITY, PASS NA MCODE KUKUZA MNYORORO WA THAMANI KATIKA KILIMO

  WAKULIMA nchini wameshauriwa kuchangamkia fursa mbalimbali zinazotolewa na taasisi za kilimo pamoja na kibenki zinazolenga kuwawezesha kukuza mnyororo wa thamani katika sekta na hatimae kuchangia pato la taifa. Haya yameelezwa mkoani dodoma katika maonesho ya kilimo na ufugaji maarufu nane nane na wadau wa fedha na kilimo wakati naibu waziri wa kilimo Davis Silinde akishuhudia…

Read More

WANAGDSS WAICHAMBUA BAJETI YA OFISI YA RAIS (MIPANGO NA UWEKEZAJI) NA KUBAINI HAIJAZINGATIA MASUALA YA JINSIA – MWANAHARAKATI MZALENDO

NA EMMANUEL MBATILO,MICHUZI TV   WADAU mbalimbali wa masuala ya Jinsia na Maendeleo wamekutana katika Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) na kuichambua bajeti ya Ofisi ya Rais (Mipango na uwekeshaji) na kubaini kuwa haijazingatia masuala ya jinsia.   Akizungumza leo Aprili 24,2024 jijini Dar es salaam, wakati wa semina ambazo hufanyika kila Jumatano katika…

Read More

70 wajeruhiwa ajali ya treni ya TRC

Dar es Salaam. Treni ya abiria ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) iliyokuwa ikitokea mkoani Kigoma kuelekea mikoa ya Tabora, Dodoma, Morogoro, Pwani na Dar es Salaam imepata ajali. Watu 70 wamejeruhiwa katika ajali hiyo kati ya 571 waliokuwa wakisafiri kwa treni hiyo. Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano TRC, Jamila Mbarouk katika taarifa kwa umma…

Read More