ACT-Wazalendo yataka hatua za wazi waliotajwa ripoti ya CAG

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kimetaka hatua za wazi kuchukuliwa kwa wote waliotajwa kuhusika katika ubadhirifu na kuisababishia Serikali hasara kama ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ilivyoeleza. Pasipo kufanya hivyo, imeelezwa wananchi wataona ripoti ya CAG hutolewa kila mwaka kwa kutimiza wajibu na si kwa ajili ya kufunua…

Read More

Badru awataka watumishi wa umma kuchangamkia fursa ya uwekezaji WHI

Na Mwandishi wetu MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Taasisi ya Watumishi Housing Investment (WHI), AbdulRazak Badru ametoa wito kwa watumishi wa Umma kuchangamkia fursa ya uwekezaji kupitia dirisha E-Wekeza linalotarajiwa kuzinduliwa na serikali kupitia mfumo wa watumishi portal hivi karibuni.  Badru ameyasema hayo wakati akizungumza na wawekezaji na wajumbe wa bodi katika Mkutano Mkuu…

Read More

Moloko, Namungo kuna jambo linakuja

UNAMKUMBUKA yule winga teleza wa zamani wa Yanga, Jesus Moloko? Unaambiwa jamaa baada ya kumaliza mkataba aliokuwa nao na klabu ya Al Sadaqa SC ya Libya, kwa sasa anajiandaa kurudi tena Bongo. Inadaiwa kuwa winga huyo aliyeachwa msimu uliopita na Yanga anajiandaa kutua Namungo ambayo imekuwa ikiwasiliana na kufanya naye mazungumzo na Moloko. Mchezaji huyo…

Read More

Vicoba chachu ya ukombozi wa wanawake kiuchumi

Dar es Salaam. Tunapoadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, kuna haja ya kutambua na kusherehekea mchango wa wanawake nchini katika kukuza uchumi wa familia na jamii kwa ujumla. Licha ya changamoto wanazokabiliana nazo, bado wamekuwa nguzo katika ustawi wa familia kupitia shughuli za kiuchumi, hasa kwa kutumia vikundi vya kijamii vya kuweka na kukopa (Vicoba). Kupitia…

Read More

Fadlu, mastaa wapya washtua | Mwanaspoti

SIMBA imewasili nchini alfajiri ya jana Ijumaa ikitokea jijini Cairo, Misri ilikoenda kuweka kambi ya mwezi ili kujiweka zaidi kwa msimu mpya wa mashindano, lakini kuna watu watatu wameshtua ndani ya ujio huo akiwemo kocha mkuu, Fadlu Davids. Msafara huo wa Simba uliwasili ulirejea karibu wote isipokuwa kocha huyo na mastaa wengine wapya wa kikosi…

Read More

Vitendo vya Israeli katika maeneo ya Palestina hufanya uhalifu wa kivita, Baraza la Haki za Binadamu linasikia – maswala ya ulimwengu

“Lengo la serikali ya Israeli ni wazi kabisa: uharibifu wa maisha huko Gaza.” Ndio jinsi Navi Pillay, mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi juu ya eneo lililochukuliwa la Palestinaalifungua taarifa yake kwa kikao cha 59 cha baraza Jumanne. Kuita vita huko Gaza “shambulio la kikatili zaidi, la muda mrefu na lililoenea dhidi ya watu wa Palestina…

Read More

TAASISI YA AGENDA YAPAZA SAUTI KUPINGA UCHAFUZI WA MAZINGIRA TAKA ZA PLASTIKI

   Katika kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani mwaka 2025, Shirika lisilo la Kiserikali Agenda for Environment and Responsible Development limeitaka jamii kuongeza juhudi za kupunguza matumizi ya Plastiki nchini. Akizungumza leo Juni 4, 2025 katika hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani, Katibu Mtendaji wa AGENDA Bi. Dorah Swai, amesema kuwa  jamii ina wajibu…

Read More

Mabao ya Msuva yaibeba Talaba

LICHA ya Al Talaba anayochezea Mtanzania, Simon Msuva kusalia nafasi ya 10 kwenye msimamo wa Ligi nchini Iraq, lakini nyota huyo ndiye kinara wa ufungaji. Msuva alisajiliwa na Talaba msimu huu akitokea Al Najma iliyokuwa inashiriki Ligi Daraja la Kwanza Saudia alikomaliza msimu na mabao manne. Talaba imecheza mechi saba ikishinda tatu, sare moja na…

Read More