Mafuta yashuka Zanzibar ikikaribisha uwekezaji zaidi

Unguja. Wakati mafuta ya petroli na dizelI yakishuka bei, Serikali imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi kuhakikisha upatikanaji wa huduma hiyo unazidi kuimarika. Lakini pia imesema inawakaribisha wawekezaji zaidi kuwekeza katika nishati hiyo hususani kisiwani Pemba. Bei ya petroli imeshuka kutoka Sh2,882 hadi Sh2,775 ikiwa ni tofauti ya Sh107 sawa na asilimia 3.72, huku dizeli ikishuka…

Read More

Taswa Mwambao Marathon kufanyika Desemba 22 jijini Tanga

MBIO za TASWA Mwambao MarathonĀ  zinazoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), ambazo awali zilikuwa zifanyike mwishoni mwa mwezi uliopita sasa zitafanyika Desemba 22, 2024 jijini Tanga. Siku moja kabla ya mbio hiyo kutafanyika Mkutano Mkuu wa TASWA asubuhi ya Desemba 21, 2024 jijini Tanga na baadaye mchana siku hiyo hiyo…

Read More

BENKI YA CRDB, UNDP zazindua programu kuwasaidia wafanyabiashara kufikia Soko Huru la Afrika (AfCTA)

Taasisi ya CRDB Bank Foundation (CBF) kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa (UNDP), leo wamezindua mwongozo uliorahisishwa kwa wajasiriamali wadogo na wa kati nchini wenye fursa za kuwaunganisha na Soko Huru la Afrika (AfCTA) utakao wawaongezea uwezo na maarifa zaidi ili waweze kupanua biashara zao kote barani Afrika. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo…

Read More

Baraza la Usalama linasikiliza sana juu ya kuongezeka kwa kifo katika mkoa wa Syida wa Syria – maswala ya ulimwengu

Machafuko yakaanza mnamo Julai 12 wakati utekaji nyara wa pande zote uliongezeka kuwa mzozo wa silaha kati ya vikundi vya Druze na makabila ya Bedouin, wakichora vikosi vya usalama vya Syria. Vurugu ziliongezeka, na ripoti za utekelezaji wa ziada, kutengwa kwa maiti na uporaji. Footage ilizunguka sana kwenye media za kijamii zilizovunwa mvutano wa madhehebu…

Read More

Wanawake msisahau majukumu yenu ya kutunza familia.

Mkuu wa mkoa wa Tanga Dkt Batlida Buriani amewataka wanawake mkoani hapa licha ya kushirikisha kwenye shughuli za kujitafutia kipato wahakikishe hasahau jukumu la malezi kwa watoto wao. Hatua hiyo imekuja baada ya kuwepo Kwa vitendo vya ukatili wa kijinsia Kwa watoto katika wilaya mbalimbali za mkoani huu jambo ambalo lina haribu ustawi wao wa…

Read More

OCD aliyefariki ajalini alivyoagwa Dar

Dar es Salaam. Mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kipolisi Chanika jijini Dar es Salaam, SP Awadh Chico umeagwa leo Machi 18, 2025 na askari wenzake pamoja na ndugu jijini Dar es Salaam. Tukio hilo limeongozwa na Naibu Kamishina wa Jeshi la Polisi (DCP), Lucas Mkondya ambaye ametoa salamu za rambirambi kwa familia…

Read More

Waajiri wakumbushwa wajibu michango ya NSSF

Dodoma. Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya JamiiĀ  (NSSF) umewataka waajiri wenye wafanyakazi waliojiunga na mfuko huo kupeleka kwa wakati michango ya watumishi kabla hawajachukuliwa hatua za kisheria ikiwamo kufikishwa mahakamani. Wito huo umetolewa leo Jumatatu Machi 17, 2025 na Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Masha Mshomba wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya…

Read More

Dk Mpango: Nikistaafu, nitaingia rasmi kwenye kilimo

Iringa. Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango amesema muda wake wa kulitumikia Taifa kupitia nafasi za uongozi unafikia mwisho na sasa anajiandaa kwenda kwenye kilimo. Tayari Dk Mpango ameshaomba kwa Rais Samia Suluhu Hassan kupumzika, naye akamkubalia na mkutano mkuu CCM wa Januari 18 na 19, 2025 ulimpitisha Katibu Mkuu wa chama hicho,…

Read More

IGP WAMBURA – JESHI LA POLISI LAWEKEZA KWENYE JAMII

Jeshi la Polisi limeendelea kuwekeza kwenye jamii ili kuweza kubaini, kutanzua na kuzuia uhalifu kwenye maeneo mbalimbali ambapo wananchi Pamoja na viongozi wa mtaa wametakiwa kuendelee kushirikiana na Wakaguzi wa kata katika kudhibiti uhalifu. Kauli hiyo imetolewa na MKUU wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura wakati akiwavalisha nishani maafisa, wakaguzi na askari wa…

Read More