Aussems awekwa kando Singida BS, Gamondi atajwa

Klabu ya Singida Black Stars imewasimamisha makocha wake wawili, Patrick Aussems na msaidizi wake Dennis Kitambi kutokana na matokeo mabaya, huku ikidaiwa kumwania Miguel Gamondi aliyeachana na Yanga hivi karibuni. Leo asubuhi Singida ilitoka sare ya mabao 2-2 na Tabora United kwenye Uwanja wa Al Hassan Mwinyi, mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao ulitarajiwa kupigwa…

Read More

Bodi ya mikopo yatoa Sh8.2 trilioni

Dodoma. Jumla ya Sh8.2 trilioni zimeshatolewa mkopo kwa zaidi ya wanufaika 830,000 wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu. Takwimu hizo zimetolewa jijini Dodoma leo Jumatatu Februari 10, 2025 na Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Carolyne Ndombo wakati akifungua Maadhimisho ya miaka 20 ya Bodi ya Mikopo ya…

Read More

Chama la Mmombwa latolewa UEFA

CHAMA la kiungo Mtanzania, Charles Mmombwa, Floriana FC imetolewa kwenye michuano ya kufuzu kucheza Europa Conference League baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Balkani. Timu hiyo ilipata nafasi ya kushiriki mechi za mtoano za michuano mikubwa Ulaya baada ya kumaliza nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Malta, maarufu kama…

Read More

Hizi zinaweza kuwa dalili za mtu anayetaka kujiua

Dar es Salaam. Ikiwa zimepita siku tano tangu dunia iadhimishe siku ya kupinga na kuzuia kujiua, ripoti ya Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaeleza kuwa takribani watu milioni nne huwaza na kutamani kujiua kila mwaka, lakini miongoni mwao ni watu 800,000 hujitoa uhai. Kila mwaka ifikapo Septemba 10 dunia huadhimisha siku hii ya kupinga na…

Read More

May Day ni ya wafanyakazi wastaafu je?

Siku ya kwanza ya Mei, wafanyakazi nchini wanajiunga na wafanyakazi wengine duniani kuadhimisha sikukuu yao ya ‘May Day.’ Inaelezwa kuwa ni kumbukumbu ya wafanyakazi kukata minyororo ya uonevu na kujikomboa kutoka kwa waajiri wao waliokuwa wanawaonea. Kwa Tanzagiza wafanyakazi wanasherehekea tu kupata sare mpya na kuandamana. Labda mara hii kikokotozi kitachapa lapa! Ni Sikukuu ya…

Read More

Mtanzania aitaka rekodi Misri | Mwanaspoti

BAADA ya kusaini mkataba wa miezi sita wenye kipengele cha kuongeza, mshambuliaji wa Kitanzania, Oscar Evalisto amesema anatamani kuandika historia ya kufunga mabao akiwa na Makadi FC ya Misri. Evalisto alisajiliwa hivi karibuni na timu hiyo inayoshiriki Ligi Daraja la Pili nchini Misri akitokea Mlandege FC ya Zanzibar. Mshambuliaji huyo alikuwa kwenye kikosi cha Mlandege…

Read More