DK FARAJA KRISTOMUS AELEZA MCHANGO WA MSHAHARA MDOGO NA MADEREVA KATIKA RUSHWA BARABARANI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Katika mjadala wa Mwananchi X Space ulioandaliwa na Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Dk Faraja Kristomus, mchambuzi wa masuala ya kijamii, alieleza kuwa sio askari pekee bali pia madereva wanachangia kuendeleza vitendo vya rushwa barabarani. Dk Kristomus alisisitiza umuhimu wa kuchunguza mchango wa pande zote mbili katika suala hili. “Mara nyingi tunawalaumu askari kwa…

Read More

Dakika 62 tamu za Mbosso ‘Simba Day’

KAMA kuna mashabiki waliinjoi leo kwa Mkapa basi ni kushuhudia shoo ya Mwimbaji wa Bongo Fleva, Mbwana Yusuph Kirungi maarufu kama Mbosso. Kama kuna tuzo zingetolewa za ‘man of the show’ msanii huyo alikuwa anaondoka nayo kutokana na namna alivyoingia hadi anamaliza kuburudisha mashabiki waliokuwa wanainjoi burudani kutoka kwa mkali huyo wa wimbo wa Pawa….

Read More

Mamia waipokea Simba uwanja wa ndege mvua ikinyesha

MAMIA ya mashabiki wa Simba  wamejitokeza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), usiku huu kuwapokea wachezaji waliorejea kutoka Afrika Kusini baada ya kuandika historia mpya kwenye soka la Afrika. Kikosi cha Simba kimerudi nchini kikiwa na furaha  kubwa baada ya kufuzu kwa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa mara ya…

Read More

Kadogoo wa Chadema aibukia kongamano la Chaumma, atoa neno

Dar es Salaam. Siku moja baada ya kujivua uanachama na vyeo vyake, aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Pwani, Sheikh Ally Kadogoo ameibukia katika kongamano la Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma). Hata hivyo, amekana kujiunga na chama hicho kwa kile alichodai msimamo wake ni kwenda mkoani Tabora kufanya…

Read More

SABABU KIFO CHA ISMAIL HANIYEH – MWANAHARAKATI MZALENDO

Taarifa iliyotolewa mapema Jumatano asubuhi, Hamas ilithibitisha kwamba Ismail Haniyeh aliuawa katika uvamizi wa Israel alipokuwa ziarani Tehran kwa ajili ya kuapishwa kwa Rais Masoud Pezeshkian. Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Iran pia limethibitisha kifo chake, huku Israel na viongozi wake wakubwa wakiwa hawajatoa majibu rasmi kuhusu madai haya. Kifo cha Haniyeh, ambaye alikuwa…

Read More

Tanzania na Umoja wa Ulaya kuendeleza Ushirikiano wa Kimkakati

Brussels, 21 Mei,2025 Tanzania na Umoja wa Ulaya wamekubaliana kuendeleza ushirikiano wa kimkakati baina yao. Makubaliano hayo yamefikiwa katika Kongamano la Bajeti la Umoja wa Ulaya lililofanyika jijini Brussels Ubeligiji ambapo ujumbe wa Tanzania uliongozwa na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais , Mipango na Uwekezaji, Mhe. Stanslaus Nyongo. Akizungumza katika Kongamano hilo lililokuwa…

Read More

Dk Nchimbi atua Mtwara, kutembelea kaburi la Mkapa

Masasi. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amewasili Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara kuanza ziara ya siku nne katika mikoa ya Mtwara na Lindi. Dk Nchimbi amewasili katika uwanja wa ndege wa Masasi leo Jumapili Julai 28, 2024 na kupokelewa na viongozi wa CCM Mkoa wa Mtwara pamoja na mamia ya…

Read More

Profesa Makubi ateuliwa Mkurugenzi Mtendaji BMH

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Profesa Abel Makubi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma. Kabla ya uteuzi huo Profesa Makubi alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI). Hayo yamebainishwa leo Juni 4, 2024 kwa taarifa iliyotolewa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Zuhura Yunus. Prof…

Read More