ACT-Wazalendo, CCM wanavyonyosheana vidole uvunjifu amani Zanzibar

Unguja. Wakati Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi akieleza kuna kauli zimeanza kutolewa kuashiria uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, Chama cha ACT-Wazalendo kimesema hakuwezi kuwa na amani kama hakuna haki. ACT-Wazalendo imesema licha ya viongozi wakuu kuhubiri amani, lakini matendo yanayotendeka yanaonesha hakuna nia ya dhati ya kuleta amani visiwani humo….

Read More

Hamdi anavyotembelea nyayo za Ramovic Yanga

USHINDI wa Yanga wa mabao 5-0, ilioupata juzi dhidi ya Mashujaa, umemfanya kocha wa timu hiyo, Miloud Hamdi kutembelea nyayo za mtangulizi wake, Sead Ramovic aliyeondoka na kutimkia CR Belouizdad ya Algeria, kutokana na rekodi zao za sasa. Hamdi alijiunga na Yanga Februari 4, mwaka huu kuchukua nafasi ya Ramovic na tangu ajiunge na kikosi…

Read More

Stori ya Bocco itaisha kishikaji Simba?

HESHIMA aliyojijengea nahodha wa Simba, John Bocco tangu aanze kucheza Ligi Kuu Bara mwaka  2008 hadi 2024, inawafanya mashabiki kuyafuatilia maisha yake na kutaka kujua ukimya wake unasababishwa na kitu gani. Kwa wachezaji wa sasa, Bocco ndiye anaongoza kwa kufunga mabao 154 katika misimu 16 aliyocheza, ukiachana na mastaa wa zamani kama Mohamed Hussein ‘Mmachinga’…

Read More

Mwongozo wa hedhi kuleta ahueni kwa wasichana Tanzania

Dodoma. Serikali imezindua Mwongozo Taifa wa Afya na Usafi wa Hedhi wa mwaka 2025, utakaowezesha shule na maeneo ya kijamii kutenga vyumba maalumu kwa ajili ya wanawake kujistiri wakati wa hedhi, huku Serikali ikigharamia pedi mashuleni. Hatua hiyo imekuja ikiwa imepita miaka minane tangu kuwe na hekaheka za kampeni mbalimbali za kutaka taulo za kike…

Read More

Mwandishi Mwanaspoti apewa cheti cha Heshima na Ubalozi wa Marekani

MWANDISHI wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited ambaye amekuwa akiandikia gazeti namba moja la michezo Tanzania, Mwanaspoti, Nevumba Abubakar, ameandika historia mpya katika taaluma yake baada ya kutunukiwa cheti cha heshima na Ubalozi wa Marekani, ikiwa ni sehemu ya kutambua umahiri wake kwenye utengenezaji wa maudhui ya kidigitali. Nevumba amekuwa mmoja wa vijana wachache waliobahatika…

Read More

Matampi ndani ya Coastal Shirikisho Afrika

JINA la Ley Matampi ni kati ya 32 ya kikosi cha Coastal Union kitakachoiwakilisha Tanzania kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Matampi ambaye alikuwa anatajwa kuondoka kikosini kwa madai kuwa hana mkataba na timu hiyo amerejea nchini na kujiunga na wenzake tayari kwa ajili ya mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC…

Read More

Hizi hapa sifa za kuwa baba bora

Ukijua thamani na majukumu unayotakiwa kutimiza katika maendeleo na maisha ya watoto wako, hilo litakusaidia kujitoa kikamilifu na kuwekeza katika familia. Kinababa wengi wanaamini kwamba wao jukumu lao ni kutunza familia na sio kulea watoto wao. Mwanaume anayejiona kuwa “hana uwezo” hayuko kwenye nafasi nzuri ya kusaidia, kulinda, kuongoza na kuandaa wakati ujao mzuri kwa…

Read More