HALMASHAURI WEKENI MIKAKATI YA KUTOKOMEZA MALARIA- DKT. JAFO

Na Shikunzi Oscar Waziri wa Viwanda na Biashara Selemani Jafo amezishauri halmashauri zote nchini kuweka mkakati wa kununuaa dawa za viluwiluwi inayozalishwa na kiwanda cha TBPL kilichopo Kibaha Mkoani Pwani ili kuuwa mazalia ya mbu na kusaidia kutokomeza kabisa ugonjwa wa malaria ambao umekuwa tishio kwa kupelekea watu kupoteza maisha. Ushauri huo ameutoa leo Julai…

Read More

Taarifa kwa vyombo vya habari

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kuanzia Desemba 2023 hadi tarehe 22 Mei 2024 limekuwa na Operesheni kali  maalum  ikihusisha kamisheni mbalimbali za Polisi ikiwemo ile ya kisayansi na kuwezesha kupatikana kwa magari 12 ya wizi ambayo tayari yamekwisha  tambuliwa na wamiliki baada ya uchunguzi pia bajaji 5 zimepatikana. Katika operation hii…

Read More

RC Kunenge aipongeza JKT Ruvu kwa juhudi za kiuchumi**

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amelipongeza Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kikosi Cha Ruvu kwa juhudi za kuchangia maendeleo ya sekta ya uchumi. Kunenge ametoa pongezi hizo Sept.04 aliposhiriki sherehe za kuhitimu mafunzo ya vijana Oparesheni miaka 60 ya Muungano kikosi Cha Ruvu , ambazo zilifanyika katika viwanja vya kambi hiyo wilayani Kibaha,…

Read More

RAIS SAMIA APONGEZWA KWA KULINDA UHURU WA KITAIFA

::::::::: Rais Dkt. Samia Asifiwa kwa Kulinda Uhuru wa KitaifaMJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, kutokea Mkoa wa Morogoro Dkt. Ally Simba, ametetea vikali hatua ya Tanzania kuwakatalia kuingia nchini baadhi ya raia wa kigeni na kuwakamata wengine, akiwemo mwanaharakati Boniface Mwangi, akisisitiza kuwa hatua hiyo ilikuwa halali na ya kulinda…

Read More

Ishara hizi katika kucha hutabiri hali ya afya yako

Dar es Salaam. Licha ya kucha kuwa urembo asili unaoongeza uzuri kwenye miguu na vidole vya mikono kwa binadamu na wanyama, wataalamu wa afya wanataja kuwa zina taarifa muhimu kuhusu hali ya afya ya binadamu. Ni muhimu kuzingatia mabadiliko ya rangi kwenye kucha zako, na vipengele vingine vinavyotumika kama tahadhari kwa magonjwa mengi. Mabadiliko kwenye…

Read More

2023 Mwaka mbaya zaidi kwa Wafanyakazi wa Misaada– & 2024 Inaweza kuwa Mbaya Zaidi, Inatabiri UN – Masuala ya Ulimwenguni

Picha za uharibifu wa hospitali ya Al-Shifa huko Gaza kufuatia mzingiro wa Israel. Shirika la Afya Duniani (WHO) lilikariri kuwa hospitali lazima ziheshimiwe na kulindwa; lazima zisitumike kama viwanja vya vita. Credit: UN News na Thalif Deen (umoja wa mataifa) Jumatatu, Agosti 19, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Agosti 19 (IPS) – Nyuma…

Read More

‘Mfumo mpya wa Tancis iliyoboreshwa mwarobaini changamoto za kiforodha’

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua Mfumo Jumuishi wa Forodha Tanzania (Tancis) ulioboreshwa, ambao unatajwa  kuwa tiba ya matatizo yote ya kiforodha kwenye uondoshaji shehena bandarini, mipakani na  kwenye viwanja vya ndege Mfumo huo ambao umeboreshwa unaziunganisha taasisi 36 ukilenga  kuboresha ufanisi, kuhakikisha usahihi wa data na kupunguza ucheleweshaji wa shughuli za…

Read More

Rais Ruto amteua Kahariri kuwa CDF Kenya

Kenya. Rais wa Kenya, William Ruto amempandisha cheo Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri kuwa Jenerali na kisha kumteua kuwa Mkuu wa Majeshi (CDF) leo Alhamisi Mei 2, 2024 kuchukua nafasi ya Francis Ogolla, CDF aliyekufa kwenye ajali ya helikopta. Kwa mujibu wa tovuti ya Taifa Leo ya nchini Kenya, mbali na uteuzi huo, mabadiliko mbalimbali…

Read More