Usalama wa Waandishi wa Habari Kipaumbele Kikuu cha CoRI

UMOJA wa Haki ya Kupata Taarifa (CoRI) umekutana ilikujadili mambo matatu muhimu ikiwemo kusaini makubaliano yatakayosaidia umoja huo ikiwa ni kuelekea uchaguzi Mkuu wa 2025. Makubaliano hayo yanatokana na mkakati waliojiwekea kwa kipindi cha miaka minne na tatu ni namna gani ujumbe wa CoRI utafika kwa jamii Akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya kuhitimisha…

Read More

Fadlu achekelea ratiba Ligi Kuu Bara, CAF

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids amesema kurejeshwa katika ratiba kwa pambano la Ligi Kuu Bara dhidi ya Pamba FC Novemba 22 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza imekaa poa kwani itampa taswira nzuri kabla ya kukutana na Bravos do Maquis ya Angola katika Kombe la Shirikisho Afrika. Fadlu alisema mchezo huo wa ushindani utakuwa…

Read More

Kauli ya Wasira kuibua mvutano na msimamo wa Chadema

Dodoma. Unaweza  ukawa ni mvutano mpya kuhusu Katiba  kati ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara, Stephen Wasira, kusema kuwa hoja ya kutaka mabadiliko ya Katiba kabla ya uchaguzi mkuu  wa Oktoba 2025 imechelewa. Wasira ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Januari 23, 2025 jijini…

Read More

Namna mastaa hawa wanavyoibeba Simba Dk 90

Simba imefanya yao kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa katika tamasha la Simba Day lililoenda kwa jina la Ubaya Ubwela lililofanika Jumamosi na wana Msimbazi wakapata burudani ya aina yake, huku wakishuhudia soka tamu kwa dakika 90 kutoka kwa kikosi hicho kinachojitafuta kwa sasa baada ya misimu mitatu mibovu. Ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya APR…

Read More