Ujenzi Hospitali ya Mji wa Tarime wafika asilimia 90

Tarime. Serikali imetoa zaidi ya Sh900 milioni kwa ajili ya kukarabati na kuboresha miundombinu na majengo ya Hospitali ya Mji wa Tarime mkoani Mara kufuatia hospitali hiyo kuzidiwa na idadi ya wagonjwa wanaofika kupata huduma, ikilinganishwa na miundombinu iliyopo. Hospitali hiyo yenye uwezo wa kupokea na kuhudumia wagonjwa 150 kwa siku hivi sasa inapokea wagonjwa…

Read More

 Aliyehukumiwa kwa kujifanya usalama wa Taifa aachiwa huru

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Mbeya, imemuachia huru George Mwakifamba, aliyekuwa amekutwa na hatia katika makosa sita ikiwemo kujifanya ofisa usalama wa Taifa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Dodoma, utekaji nyara na kutishia kwa lengo la kujipatia Sh20 milioni. Mrufani huyo na wenzake wawili (siyo warufani katika rufaa hiyo) ambao ni Deodatus Patrick na…

Read More

Sowah kuikosa Dabi ya Kariakoo Ngao ya Jamii

Mshambuliaji mpya wa Simba, Jonathan Sowah, ataikosa mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga itakayopigwa Septemba 16, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa, Dar es Salaam. Hii ni baada ya kufungiwa kufuatia kadi nyekundu aliyoonyeshwa kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB msimu uliopita wakati akiwa na Singida Black Stars. Kwa…

Read More

Watatu kutimkia Fountain Gate Princess

SIKU chache baada ya Bunda Queens kuachana na wachezaji watatu, inaelezwa wapo kwenye hatua za mwisho kumalizana na Fountain Gate Princess. Hadi sasa, Bunda imeachana na wachezaji tisa muhimu akiwemo Ester Maseke aliyejiunga na JKT Queens, huku wengine wakiwa ni Mkenya Nelly Kache, Florida Osundwa, Nasra Selemani, Saida Steven, Esther Nyanda, Melkia William, Marry Joseph…

Read More

Kwesi Appiah awapa tano mastaa

BAADA ya kufuzu hatua ya robo fainali timu ya taifa ya Sudan imeonekana kuingia kwenye hali ya kujiamini, kutokana na kocha Kwesi Appiah kuwapongeza wachezaji wake akidai kwamba wamekuwa wakibadilika mechi hadi mechi kuonyesha ubora. Sudan imefuzu hatua hiyo baada ya suluhu dhidi ya mabingwa wa michuano ya CHAN, Senegal na kufanikiwa kuongoza kundi D…

Read More

UTT AMIS YAZINDUA TAWI JIPYA KAHAMA

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Mhe. Frank Nkinda na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa UTT AMIS, Prof. Faustine Kamuzora (kulia) wakikata utepe ishara ya uzinduzi wa Tawi ya UTT AMIS – Kahama Mkoani Shinyanga Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Kampuni ya Uwekezaji ya UTT Asset Management and Investor Services (UTT AMIS) imezindua…

Read More

Kocha Senegal ajishtukia CHAN 2024

KOCHA Mkuu wa Senegal, Souleymane Diallo amelia na kikosi chake kushindwana kutegua mtego dhidi ya Sudan akisisitiza kuwa ana kazi kubwa ya kufanya katika hatua ya robo fainali akihofia kukamiwa zaidi. Souleymane alisema hayo baada ya timu yake kuambulia suluhu dhidi ya Sudan akikiri kupata mchezo mgumu ambao uliifanya timu yake ishindwe kupata matokeo kucha…

Read More