Tatizo la afya ya akili lilivyogusa Watanzania 2025

Dar es Salaam. Mwaka 2025 umeweka wazi jeraha lisiloonekana, lakini lenye maumivu makali la afya ya akili miongoni mwa Watanzania. Katika kipindi cha mwaka huu, kumeshuhudiwa ongezeko la matukio ya msongo wa mawazo, sonona, wasiwasi mkubwa na tabia za kujidhuru. Makundi yaliyoathirika zaidi ni vijana na wanafunzi, wafanyakazi wa mijini, pamoja na wanawake wanaobeba mzigo…

Read More

USHIRIKA WATAKIWA KUSAIDIA KUINUA UCHUMI WA WAKULIMA

  NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayeshughulikia  Ushirika na Umwagiliaji, Dkt. Suleiman Serera, ameeleza kuwa, Serikali inaitaji kuona Ushirika wa kisasa ambao unafuata mifumo ya kidigiti na kuzingatia taratibu na miongozo ya uendeshaji Ili kuwainua Wakulima. Ameeleza kuwa, kukiwa na Ushirika wa kisasa wakulima watapata huduma kwa haraka mahala walipo ikiwa ni pamoja…

Read More

WAPIGAKURA 62,207 WATARAJIWA KUPIGAKURA HANDENI MJINI OKT.29

Augusta Njoji na Job Karongo, Handeni TC ZIKIWA zimesalia siku tisa Watanzania kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Handeni Mjini, Amina Waziri, amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kutimiza haki yao ya kikatiba ya kupiga kura. Akizungumza kuhusu maandalizi ya uchaguzi huo jimboni hapo, Amina amesema maandalizi…

Read More

Kipa Simba aibukia Mashujaa | Mwanaspoti

BAADA ya Simba Queens kumpa mkono wa kwaheri kipa Gelwa Yona, inaelezwa Mashujaa Queens ipo kwenye hatua nzuri ya kumalizana naye. Gelwa alijiunga na Simba msimu wa 2021/22 akitokea Ruvuma Queens na misimu miwili ya mwanzoni alionyesha kiwango bora. Hata hivyo, baada ya kuongezwa kwa kipa Carolyne Rufaa, Gelwa aliishia kukaa benchi. Chanzo cha kuaminika…

Read More

ELIMU YA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KUOKOA MAISHA ZAIDI YA ELFU 33 KILA MWAKA NCHINI

……………….. 📌Wizara ya Nishati yasema elimu kwa maafisa dawati italeta mapinduzi ya kiafya na kimazingira 📌Mikoa ya Kanda ya Kati na Kaskazini wanufaika na elimu 📌Maafisa Dawati kutumia elimu hiyo kutekeleza azma ya Serikali 📍SINGIDA Elimu ya matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia inayotolewa na Wizara ya Nishati kwa maafisa dawati na waratibu wa nishati…

Read More

Netanyahu aahidi ‘nguvu, dhamira’ dhidi ya Wahuthi Yemen – DW – 22.12.2024

Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu Jumapili aliahidi kulipiza kisasi dhidi ya waasi wa Huthi wa Yemen baada ya kurusha kombora kuelekea Tel Aviv, akionya kwamba Israel itashambulia kile alichokiita mkono wa mwisho uliosalia wa “mhimili wa uovu wa Iran.” Wahuthi walikishambulia kitovu cha kibiashara cha Israel Jumamosi kwa kile walichodai kuwa kombora la masafa marefu,…

Read More