Meridianbet Yaimarisha Mshikamano wa Kijamii Dar es Salaam

MERIDIANBET, kampuni inazoongoza nchini katika michezo ya kubashiri na kasino mtandaoni, imeimarisha mshikamano wa kijamii kwa kutoa msaada wa vyakula na mahitaji ya msingi kwa familia zenye uhitaji maalum wilayani Kinondoni, jijini Dar es Salaam. Hatua hii ni ishara thabiti ya dhamira ya Meridianbet ya kushirikiana na jamii katika kukabiliana na changamoto za maisha ya…

Read More

TASAC YAONYA UTUPAJI WA PLASTIKI BAHARINI

Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.Katika kuadhimisha siku ya usafiri wa majini Duniani,Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limetawaka wananchi kupunguza uchafuzi wa plastiki katika bahari na kulinda rasilimali hiyo kwa vizazi vijavyo. Takwimu za Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshuhulikia Mazingira (UNEP) linaonyesha kila mwaka tani milioni 19 hadi 20 za plastiki zinatekezwa baharini…

Read More

Ibenge: Subirini mechi ya kwanza muone!

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema timu yake bado inaendelea kujifua kwa ushindani na itakuwa tayari siku ya mechi ya kwanza ya michuano iliyo mbele yao. Timu inatarajia kuvaana na Al Merrikh Bentiu ya Sudan Kusini katika Kombe la Shirikisho Afrika mechi ambayo imepangwa kuchezwa Septemba 19 na marudiano ni Septemba 26 katika…

Read More

Morocco: Haikuwa rahisi, lakini tulipambana!

KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemed Suleiman, amesema udhaifu katika kutumia vizuri nafasi walizotengeneza ndiyo sababu ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Morocco. Hata hivyo, kocha huyo anajivunia namna wachezaji walivyopambana hadi kufikia hatua ya robo fainali ikiwa ni mara ya kwanza kwa Tanzania kufanya hivyo kwenye michuano inayosimamiwa…

Read More

Meridianbet Yawakumbuka Tena Mama Lishe Coco Beach

Global Publishers March 19, 2026 0 Comments Kwenye upepo mwanana wa Coco Beach, kumezaliwa tabasamu mpya kwa kina mama wanaochangamsha jiji la Dar es Salaam kwa vyakula vyao vitamu. Meridianbet imewasili na zawadi za aproni ikiwa ni ishara ya heshima kwa juhudi za Mama Lishe wanaopambana kila siku kujitafutia kipato na kuhudumia mamia ya wateja…

Read More

“Katika Mkutano wa Kwanza wa Bahari Yetu barani Afrika, Jaribio la Utashi wa Ulimwenguni juu ya Ulinzi wa Bahari Kuu na Uchimbaji wa Madini ya Bahari Kuu” – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na James Alix Michel (victoria, visiwa vya Shelisheli) Jumatatu, Machi 23, 2026 Inter Press Service VICTORIA, Shelisheli, Machi 23 (IPS) – Wakati Mkutano wa 11 wa Bahari Yetu utakapofunguliwa huko Mombasa na Kilifi, Kenya, kuanzia Juni 16-18, 2026, itakuwa ni mara ya kwanza kwa mkutano huu wenye ushawishi mkubwa kufanyika katika ardhi ya Afŕika….

Read More