
Mambo matatu yanayoibeba Simba kwa Al Ahli Tripoli
Dar es Salaam. Timu ya Simba inatarajiwa kushuka uwanjani Jumapili ijayo kwenye mchezo wa raundi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika utakaopigwa nchini Libya dhidi ya Al Ahli Tripoli. Al Ahli inakutana na Simba baada ya kuiondosha Uhamiaji ya Zanzibar kwa jumla ya mabao 5-1, ambapo mchezo wa kwanza ilishinda mabao 2-0 kabla…