Mambo matatu yanayoibeba Simba kwa Al Ahli Tripoli

Dar es Salaam. Timu ya Simba inatarajiwa kushuka uwanjani Jumapili ijayo kwenye mchezo wa raundi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika utakaopigwa nchini Libya dhidi ya Al Ahli Tripoli. Al Ahli inakutana na Simba baada ya kuiondosha Uhamiaji ya Zanzibar kwa jumla ya mabao 5-1, ambapo mchezo wa kwanza ilishinda mabao 2-0 kabla…

Read More

Kabudi atoa matumaini ‘Kariakoo Derby’ kuchezwa

Baada ya mazungumzo ya timu za Simba na Yanga, serikali imesema kuwa imepanga kuzungumza na wadhamini wa Ligi Kuu kuhusu mchezo baina ya timu hizo ‘Kariakoo Derby’ na kuwataka Watanzania na mashabiki wa kuwa na subira wakati mazungumzo hayo yakiendelea. Dabi ya Kariakoo ilipangwa kuchezwa Machi 8, 2025 lakini haikuchezwa baada ya kuahirishwa na Bodi…

Read More

Bajeti ya uchaguzi, kulinda haki za raia

Dodoma. Nyongeza ya fedha kwenye bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani, imelenga kuwezesha utekelezaji wa mapendekezo ya Tume ya Haki Jinai. Pia bajeti hiyo imelenga kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuliwezesha Jeshi la Polisi kutimiza majukumu yake, ikiwemo la uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu na uchaguzi mkuu mwakani. Maombi ya…

Read More

Ngorongoro yazindukia Mikumi | Mwanaspoti

VIPIGO viwili vya michezo ya awali ilivyopata timu ya Ngorongoro imeizindua kwa kupata ushindi wa mikimbio 22  dhidi ya Mikumi katika mchezo  uliopigwa jijini wikiendi iliyopita. Mchezo huu ambao ni maalum kwa  wachezaji wa timu ya taifa ya kriketi, ni sehemu ya maandalizi ya timu hiyo kwa ajili ya michuano ya kufuzu fainali za kombe…

Read More