WAZALISHAJI WA VYAKULA VYA MIFUGO WAASWA KUZINGATIA UBORA

Wazalishaji wa vyakula vya Mifugo nchini wameaswa kuzingatia ubora wanapozalisha vyakula vya Mifugo ili kulinda afya za watumiaji wa mazao yatokanayo na Mifugo, kuongeza ustawi wa Mifugo, kuongezeka kwa uzalishaji Mifugo pamoja na kukuza vipato vya wafugaji. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Huduma Saidizi wa Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) Bw. Furaha Kabuje…

Read More

Wezi wavamia waiba kichanga | Mwananchi

Kibaha. Watu ambao hawajafahamika wamevamia nyumbani kwa mkazi wa Kibaha kwa Mfipa Mkoa wa Pwani Melkisedeck Sostenes na kupora gari, pesa na vitu mbalimbali kisha kuwatumbukiza wamiliki wa nyumba kwenye chemba za vyoo. Watu hao wanaodaiwa kutekeleza tukio hilo saa 12 asubuhi pia wanadaiwa kuondoka na mtoto mchanga mwenye umri wa miezi saba ambaye ni…

Read More

Taifa Stars yaanguka nafasi nne viwango FIFA

Dar es Salaam. Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeanguka kwa nafasi nne katika viwango vya ubora wa soka vya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) vilivyotangazwa leo, Septemba 18, 2025. Tanzania imedondoka kwa nafasi kutoka ya 103 ambayo ilikuwepo awali hadi nafasi ya 107 kwa viwango vilivyotolewa leo na FIFA. Kufanya vibaya…

Read More

Wazee walalama kutopewa kipaumbele kwenye huduma za kijamii

Unguja. Wazee na wastaafu visiwani Zanzibar wamesema wanakumbana na changamoto ya ucheleweshwaji wa huduma ikiwamo kwenye usafiri wa umma, hospitali na benki. Wamewasilisha malalamiko hayo kupitia Jumuiya ya Wastaafu na Wazee Zanzibar (Juwaza), leo Jumapili Julai 20, 2025 kwenye kongamano la siku ya kupinga udhalilishaji kwa wazee duniani lililofanyika Sebleni, Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja….

Read More

Mgunda avimbia ubora wa Amoah

KOCHA wa Namungo, Juma Mgunda, ameonyesha matumaini makubwa na beki mpya wa kati, Daniel Amoah, ambaye alisajiliwa katika dirisha hili la usajili. Mgunda amesema kuwa Amoah ana uwezo mkubwa na anaweza kuwa chachu ya kuboresha ukuta wa timu yake, ambao hadi sasa umeruhusu mabao 18 katika michezo 15 ya Ligi Kuu Bara. Akizungumza kuhusu usajili…

Read More

JKT Tanzania yatangaza vita ya ubingwa 2024/25

JKT Tanzania imesema msimu huu inapambana kuhakikisha inachukua ubingwa wa Ligi Kuu ambao unatetewa na Yanga na kushiriki michuano ya kimataifa. Akizungumza na waandishi wa habari leo Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano, Masau Bwire alisema kama klabu wamejipanga kubeba kila taji mbele yao ikiwemo la Ligi Kuu. Masau alisema anaamini usajili bora waliofanya…

Read More