Miloud hataki kilichoikuta Simba | Mwanaspoti

Katika kuhakikisha kikosi chake kinaendelea kukaa kileleni kwa msimamo wa Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa Yanga, Hamdi Miloud amesema wamekuja Mwanza kwa ajili ya kushinda na kupata alama tatu na sio matokeo mengine yoyote ambayo yatawapunguza kasi. Yanga ambao ni vinara wa Ligi Kuu ikiwa na alama 55 katika mechi 21 ipo jijini Mwanza…

Read More

Wakala wa Vipimo waeleza fursa za uwekezaji kwa sekta binafsi

Wakala wa Vipimo katika utekelezaji wa majukumu yake imeendelea kutoa mchango katika kuchochea maendeleo ya sekta za kiuchumi na kijamii nchini, kuchochea uzalishaji wa bidhaa unaozingatia vipimo sahihi, kuendelea kuchangia katika mfuko mkuu wa Serikali. Akizungumza katika kikao kilicho wakutanisha na wahariri pamoja na waandishi wa habari leo Septemba 11,2024 afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala…

Read More

LIVERPOOL YAJIONDOA KUMUWANIA LENY YORO

Liverpool wamejiondoa kwenye kinyang’anyiro cha kumnunua mlinzi wa Manchester United Leny Yoro, 18, kutoka Lille kwa sababu walihisi anavutiwa zaidi na klabu ya Real Madrid. (Mirror) Powered by; @acbtanzania_ @kobemotor @betpawatanzania @wearekerry #TetesizaSokaUlaya #KonceptTvUpdates

Read More

STEVE NYERERE ATAKA HATUA KALI KWA WANAODHALILISHA WATOTO WA KIKE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Msanii maarufu Steven Nyerere ametoa wito kwa mamlaka husika kuchukua hatua kali dhidi ya wahusika wa vitendo vya udhalilishaji kwa watoto wa kike, akisisitiza kuwa haki na utu wa binadamu lazima vilindwe kwa gharama yoyote. Kupitia ujumbe aliouandika, Steven Nyerere alieleza kutoridhishwa kwake na majibu mepesi yanayotolewa kuhusiana na matukio ya udhalilishaji wa watoto wa…

Read More

Fyatu kujifyatua na kujinoma na king’ora!

Baada ya kuchoka msongamano wa Bongo isiyo na bongo za kutatua changamoto na kero zake, nimechemsha bongo. Niwajuze waziwazi. Nina mpango wa kununua na kufunga king’ora kwenye mchuma wangu kuepuka kusota kwenye foleni kama mafyatu makapuku wakati mie ni munene wao kama wale wanene wa kaya. Maana, kama sikosei, ndiyo mfumo wa kifyatu wa wanene…

Read More

Sheikh Nyange afariki dunia Makka Saudia

Unguja. Sheikh Said Nyange (48) amefariki dunia baada ya kuugua ghafla akiwa Makka nchini Saudi Arabia alipokwenda kuhiji. Akizungumza na Mwananchi Digital, leo Jumapili, Juni 23, 2024 Katibu wa Jumuiya ya Maimamu Zanzibar (Juwaza), Muhidin Zebeir Muhidin amesema kiongozi huyo amefarikia dunia usiku wa kuamkia leo huko Saudia. “Ni kweli sheikh Said Nyange amepoteza maisha…

Read More