Waajiri wapigwa stop kukata watumishi kodi ya pango

Dar es Salaam. Wabunge leo Juni 9, 2025 wamepitisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wa mwaka 2025, wakati wa kikao cha 42 cha mkutano wa 19 wa Bunge la Bajeti jijini Dodoma. Muswada huo umefanyiwa marekebisho mbalimbali ikiwemo vifungu vya 12 na 13 vilipendekezwa kurekebishwa kwa lengo la…

Read More

Serikali yacharuka ukatili wa kijinsia, maelfu wakiokolewa

Mbeya. Wakati watu 3,735 wakiokolewa na vifo vya mama na mtoto kupitia mpango wa Dharura Fasta, Serikali imetaka wanaofanya ukatili wa kijinsia kuripotiwa na kuchukuliwa hatua za kisheria haraka. Pia, imesema ili kuondokana na wimbi kubwa la watoto mitaani, wazazi na walezi waelimishwe juu ya upendo na ushirikiano kwenye ndoa badala ya kuishi kwa migogoro….

Read More

TAG wamlilia Askofu Lazaro, mamia wakimuaga

Moshi. Mamia ya waombolezaji, wamejitokeza kuuaga mwili wa aliyekuwa Askofu Mkuu wa kwanza wa Kanisa la Assemblies of God Tanzania (TAG) Tanzania, Emmanuel Lazaro (88), katika ibada iliyofanyika Kanisa la Kilimanjaro Revival Temple, Moshi mjini. Askofu Lazaro ambaye alizaliwa Oktoba 4, 1937, alifariki Mei 17, 2025 katika Hospitali ya Rufaa ya kanda ya Kaskazini KCMC,…

Read More

Matampi ndani ya Coastal Shirikisho Afrika

JINA la Ley Matampi ni kati ya 32 ya kikosi cha Coastal Union kitakachoiwakilisha Tanzania kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Matampi ambaye alikuwa anatajwa kuondoka kikosini kwa madai kuwa hana mkataba na timu hiyo amerejea nchini na kujiunga na wenzake tayari kwa ajili ya mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Azam FC…

Read More

Familia ya mtoto aliyeibwa Kibaha yazidi kumlilia Rais Samia

Kibaha. Siku 10 baada ya mtoto wa miezi saba kuibwa na watu wasiojulikana, familia ya mtoto huyo bado ina matumaini kuwa atapatikana salama. Wakiwa kwenye majonzi, familia hiyo imeendelea kumlilia Rais Samia Suluhu Hassan wakimuomba asaidie kupatikana kwa mtoto huyo.  Mtoto huyo aitwaye Merisiana Sostenes alichukuliwa  Januari 15, 2025, akiwa nyumbani kwao Kibaha kwa Mfipa…

Read More

Mamilioni ya watu wanakabiliwa na njaa Kusini mwa Afrika – DW – 16.10.2024

Hali hiyo inayotishia kusababisha mgogoro wa kiutu imeshawaathiri watu wasiopungua milioni 27 katika kanda hiyo. Nchi tano zikiwemo Lesotho Malawi, Zambia na Zimbabwe zimeshatangaza hali ya hatari katika miezi iliyopita wakati ukame ukiyaangamiza mazao na mifugo. Shirika la Mpango wa chakula duniani WFP limeeleza katika mkutano wake wa na wanahabari mjini Geneva Jumanne kuwa Angola…

Read More

UDOM YAJA NA ROKETI ITAKAYOSAIDIA SEKTA YA KILIMO

CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimebuni na kutengeneza sayansi ya roketi ambayo itasaidia katika mabadiliko ya hali ya hewa. Roketi hiyo yenye lengo yakufanya maboresho kwenye hali ya hewa. Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo Jijini Dar es Salaam kwenye maonesho ya 49 kimataifa ya sabasaba, mhadhiri mwandamizi chuo kikuu cha UDOM, Dkt. Benatus…

Read More

Rais Samia afichua mapenzi yake kwa kahawa

Dar es Salaam. “Kahawa ni kinywaji kinachotuliza akili”, hii ni ya matamshi ya kwanza aliyoyatoa Rais Samia Suluhu Hassana leo Februari 22, 2025 wakati akifungua mkutano wa tatu wa nchi zinazozalisha kahawa barani Afrika uliofanyika kwa siku mbili jijini Dar es Salaam. Akiwa mwenye bashasha baada ya kunywa kikombe cha kahawa alicholetewa muda mfupi baada…

Read More