Zaidi ya wakazi million 1.4 wa mkoa wa Tanga Wanatarajiwa kuandikishwa katika daftari la kudumu la mpiga kura

Raisa Said, Tanga Zaidi ya wakazi million 1.4 wa Mkoa wa Tanga wanatarajiwa kujiandikisha katika zoezi la uandikishaji wa daftari la kudumu la mpiga kura linaloanza rasmi oktoba 11 hadi oktoba 20 nchini kote Hayo yamesemwa na Mkuu wa mkoa wa Tanga Balozi Batilda Buriani wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake wakati akizindua…

Read More

Jinsi Kansela Olaf Scholz alivyopoteza umaarufu wake – DW – 28.12.2024

Mnamo Septemba, Scholz alikwepa swali la mwandishi wa habari kuhusu urithi wake kisiasa. “Nadhani mtu anapaswa kuwa makini na wanasiasa wanaofikiria kuhusu hilo kabla ya muhula wao kuisha,” alisema katika mahojiano na gazeti la Tagesspiegel la Berlin. Lakini baada ya kuvunjika kwa muungano wake wa vyama vitatu vya mrengo wa kati-kushoto, Scholz anaweza kuwa ameanza kujiuliza…

Read More

Waliokaidi ukaguzi magari ya shule wakamatwa, wananchi waombwa kulinda kundi Jipya la watumiaji wa Barabara.

Na. Mwandishi Jeshi la Polisi Arusha. Jeshi la Polisi kikosi cha usalama Barabarani kimesema kuwa baada ya kuhitimisha zoezi la ukaguzi wa magari ya shule(School Bus) kwa kipindi cha likizo ambacho kilitangazwa ili kuondoa usumbufu kwa wanafunzi wanaotumia vyombo hivyo kimeanza kuwakamata wale wote walio kaidi agizo hilo huku kikosi hicho kikiwaomba wananchi kuweka uangalizi…

Read More

Ewura yawaonya wanaouza petroli kwenye vidumu

Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imewataka wamiliki wote wa vituo vya mafuta kutoruhusu uuzwaji wa mafuta ya petroli kwenye vifaa visivyoruhusiwa kuchukulia au kuhifadhia mafuta hayo. Hata hivyo, baada ya wananchi waliozungumza na Mwananchi wamesema Ewura inapaswa kusimamia ujenzi wa vituo vya kuuzia mafuta maeneo ya pembezoni,…

Read More

Dua Lipa awaacha midomo wazi mashabiki ,achumbiwa rasmi

Dua Lipa amezua gumzo za shangwe kwenye sherehe  ya Krismasi baada ya kutangaza kuwa amechumbiwa Mwimbaji huyo wa Radical Optimism alienda kwenye Instagram yake kuonesha pete yake ya uchumba . Akichapisha picha yake akiwa amevalia suruali nyeupe yenye Lipa aliandika kwenye nukuu, “Krismasi ilikuwa nzuri sana. Mashabiki walifurika sehemu ya maoni ili kushiriki maoni yao…

Read More

ANC kuvishawishi vyama vingine kumuunga mkono Ramaphosa bungeni

Johannesburg, Afrika Kusini. chama cha African National Congress (ANC), kimesema kuwa kitavishawishi vyama vingine kuunga mkono kuchaguliwa  tena kwa Cyril Ramaphosa bungeni ili kumruhusu kuunda uongozi. Chama hicho kimetoa kauli hiyo leo Juni 2,2024 kufuatia kuhesabiwa asilimia  99 za uchaguzi uliofanyika Mei 29,2024 ambapo chama hicho kiliongoza  kwa asilimia 40.2 katika uchaguzi huo,  chama cha…

Read More

Makipa janga timu ya taifa

Simba, Yanga na Azam, ni timu ambazo zimekuwa zikitawala soka la Tanzania kwa muda mrefu. Kuanzia mwaka 2008 ambapo Azam FC ilianza kushiriki Ligi Kuu Bara, timu hizi tatu pekee ndizo zimefanikiwa kubeba ubingwa wa ligi hiyo. Katika kipindi hicho cha misimu 16, Azam imebeba mara moja 2013-2014, huku misimu 15 wakigawana Simba na Yanga….

Read More