Sh38 bilioni kuwanufaisha wakulima wadogo nyanda za juu kusini

Pwani. Wafadhili kutoka Canada, wametoa Sh38 bilioni kusaidia shughuli za kilimo nchini kuhimili athari za mabadiliko ya tabianchi. Makali ya mabadiliko ya tabianchi yameendelea kuumiza vichwa vya mataifa tajiri duniani yanayotafuta suluhu na kuwezesha nchi zinazoendelea katika kupambana na hali hiyo. Hata hivyo, mabadiliko ya tabia nchi yanagusa nchi zote na kwa Tanzania katika  kilimo…

Read More

ZRA yakusanya asilimia 102 ya mapato

Pemba. Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA), imesema ongezeko la ukusanyaji wa mapato umekuwa ukiimarika sababu kubwa ikitajwa matumizi ya mifumo na kutatua changamoto za walipa kodi. Akitoa taarifa ya makusanyo kwa waandishi wa habari leo Jumapili Novemba 3, 2024, Kaimu Kamishna Mkuu wa ZRA, Said Ali Mohamed amesema ongezeko hilo pia limetokana na kuimarishwa kwa…

Read More

Wananchi 62,000 kuwezeshwa kiuchumi Tanzania

Mbeya. Wakazi 62,000  wanatarajiwa kuingizwa kwenye mfumo rasmi na kuwezeshwa kiuchumi kupitia Programu ya Imarisha Uchumi na Mama Samia (Imasa). Hatua hiyo imeelezwa kuyagusa makundi ya kijamii wakiwapo wazee, vijana na makundi maalumu ya watu wenye ulemavu watakaoingizwa kwenye mfumo rasmi wa kidigitali. Katibu Mtendaji wa Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Beng’i Issa amebainisha…

Read More

Makocha wanavyogeuka wazazi | Mwanaspoti

KATIKA ulimwengu wa soka makocha wamekuwa wakichukua kazi ya kuwafundisha wachezaji, lakini pia ni kama walezi wao. Hiyo inatokana na namna ambavyo muda mwingi wanakuwa pamoja. Hii inalinganisha na masuala ya shuleni ambapo walimu ni kama wazazi kwa wanafunzi. Septemba 21, 2021, nyota wa Ureno, Cristiano Ronaldo alifichua namna ambavyo Sir Alex Ferguson alikuwa zaidi…

Read More

Samia ampigia chapuo Profesa Kabudi kiaina

Dar/Moro. Rais Samia Suluhu Hassan ni kama amempigia chapuo Mbunge wa Kilosa (CCM), Profesa Palagamba Kabudi, achaguliwe tena na wananchi wa jimbo hilo katika uchaguzi mkuu wa mwakani. Hiyo imetokana na kauli yake mbele ya wananchi wa Kilosa aliyoitoa leo Agosti 2, 2024 akisema:“Endeleeni kuniletea Kabudi.” Kauli inayofanana na hiyo aliitoa pia alipokuwa Dumila mkoani…

Read More