Unawezaje kujinasua na “Kodi ya Meza”

Katika maisha ya mijini, “kodi ya meza” imekuwa utaratibu usioandikwa wa kupanga matumizi ya fedha za nyumbani. Ni utaratibu  wa “kuweka juu ya meza” kiasi fulani kila siku kwa ajli ya matumizi ya siku kama vile chakula, nishati ya kupikia, maji, na hata nauli za watoto kwenda shule. Kwa haraka haraka, mtindo huu unaonekana mwepesi…

Read More

Huyu ndiye Yusuf Manji wa 1975 mpaka 2024

Dar es Salaam. Mfanyabiashara maarufu na aliyekuwa mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji amefariki dunia Jumamosi Juni 29, 2024 saa 6 usiku katika Jimbo la Florida nchini Marekani alipokuwa anapatiwa matibabu. Manji (49), ambaye alifariki dunia saa sita usiku akiwa miezi miwili iliyopita alifanya mahojiano marefu na gazeti hili ambapo alizungumza mambo mengi kuhusiana…

Read More

Kauli ya RC Dendego yaibua mjadala

Dar es Salaam. Kufuatia kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Singida, Halima Dendego kuwa wasichana watakaopata mimba katika umri mdogo, watakuwa washitakiwa wa kwanza katika mashauri yatakayofunguliwa, baadhi ya wanaharakati wamemkosoa wakisema kauli hiyo haileti suluhisho la tatizo hilo. Akizungumza katika ziara yake ya kikazi Halmashauri ya Wilaya ya Itigi mkoani humo na wanafunzi wa…

Read More

ULIMWENGU WA ZAWADI KABAMBE THAMANI MPAKA BIL 1.

Ingia katika ulimwengu wa zawadi za kushangaza: Jishindie sehemu ya zawadi zenye thamani ya Tsh Bilioni Moja (1,109,338,868) pale unapocheza michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka kwa watengenezaji wa michezo ya kasino Wazdan. Karibu katika ushindi usio na kifani! Burudika na Meridianbet unapocheza kasino ya mtandaoni na jishindie sehemu ya zawadi zenye thamani ya Tsh…

Read More